Matukio ya kutishia amani ya nchi na usalama wa raia yatapungua kama mabalozi wa nyumba kumi watafanya kazi zao kwa uaminifu - Vuai Ally Vuai
![](http://1.bp.blogspot.com/-l0i_ga53EAY/VKJxkqytSfI/AAAAAAAG6kg/AxBOAjTwWvc/s72-c/33.jpg)
Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi
Matukio ya kutishia amani ya nchi na usalama wa raia yatapungua kama mabalozi wa nyumba kumi watafanya kazi zao kwa uaminifu kwani wao ni viongozi wa kwanza walio karibu na wananchi hivyo basi wanatakiwa kuwafahamu wakazi wa maeneo yao.
Hayo yamesemwa jana na Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Vuai Ally Vuai wakati akifungua semina ya siku moja ya uwezeshaji wa chama hicho kwa mabalozi (viongozi wa mashina) wa wilaya ya Lindi mjini.
Vuai...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog30 Dec
Matukio ya kutishia amani ya nchi na usalama wa raia yatapungua kama mabalozi wa nyumba kumi watafanya kazi zao kwa uaminifu — Vuai Ally Vuai
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Vuai Ally Vuai.
Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi
Matukio ya kutishia amani ya nchi na usalama wa raia yatapungua kama mabalozi wa nyumba kumi watafanya kazi zao kwa uaminifu kwani wao ni viongozi wa kwanza walio karibu na wananchi hivyo basi wanatakiwa kuwafahamu wakazi wa maeneo yao.
Hayo yamesemwa jana na Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Vuai Ally Vuai wakati akifungua semina ya siku moja ya uwezeshaji wa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LfUI46tVK_4/VioABbDsAVI/AAAAAAAAiAI/yK3SnpHgs8Q/s72-c/newala.jpg)
NEWALA WAHAKIKISHIWA USALAMA WA KUTOSHA KWA RAIA NA MALI ZAO SIKU YA UCHAGUZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-LfUI46tVK_4/VioABbDsAVI/AAAAAAAAiAI/yK3SnpHgs8Q/s400/newala.jpg)
Akizungumza na Habarileo kwa njia ya simu, Mkuu wa Wilaya ya Newala, Christopher Magala amesema wakazi wa Newala husususani katika majimbo ya uchaguzi ya Newala Mjini na Newala vijini wasiwe na hofu juu ya amani siku ya kupiga kura.
“Nitumie nafasi hii kuwatoa hofu wananchi na kuwahakikishia usalama wenu na...
10 years ago
VijimamboTASWIRA. MHE.SHAMSI VUAI NAHODHA
10 years ago
Habarileo24 Mar
Vuai aionya CUF kuhusu Muungano
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM- Zanzibar, Vuai Ali Vuai amekitahadharisha Chama cha Wananchi (CUF) kijue kwamba Muungano ukivunjika basi Zanzibar nayo haitokuwa salama na itasambaratika.
11 years ago
Mwananchi16 Jan
Vuai apinga hoja za Maalim Seif
10 years ago
Habarileo31 Dec
Mabalozi nyumba kumi wapewa somo
MATUKIO ya kutishia amani ya nchi na usalama wa raia yatapungua kama mabalozi wa nyumba kumi watafanya kazi zao kwa uaminifu.
11 years ago
Mwananchi08 Aug
Kamati ya Vuai yakosa theluthi mbili ya kura
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Maalim Seif hatoshi urais wa Zanzibar — Vuai
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimewataka Wazanzibari wasimchague Katibu Mkuu wa CUF, Seif Sharif Hamad, iwapo atawania urais katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani. Kimedai Maalim Seif, hana utashi na dhamira...
10 years ago
GPLSHAMSI VUAI NAHODHA: NILIJISHANGAA KUTEULIWA WAZIRI KIONGOZI