Mabalozi nyumba kumi wapewa somo
MATUKIO ya kutishia amani ya nchi na usalama wa raia yatapungua kama mabalozi wa nyumba kumi watafanya kazi zao kwa uaminifu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Urm9DTB2_8s/VGnQFT39NKI/AAAAAAAGxxE/9kgfQ7MVJWk/s72-c/unnamed%2B(51).jpg)
Dkt. Shein afungua Mkutano wa Mabalozi wa Nyumba kumi Wilaya ya Mjini Unguja
![](http://4.bp.blogspot.com/-Urm9DTB2_8s/VGnQFT39NKI/AAAAAAAGxxE/9kgfQ7MVJWk/s1600/unnamed%2B(51).jpg)
10 years ago
Dewji Blog30 Dec
Matukio ya kutishia amani ya nchi na usalama wa raia yatapungua kama mabalozi wa nyumba kumi watafanya kazi zao kwa uaminifu — Vuai Ally Vuai
Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Vuai Ally Vuai.
Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi
Matukio ya kutishia amani ya nchi na usalama wa raia yatapungua kama mabalozi wa nyumba kumi watafanya kazi zao kwa uaminifu kwani wao ni viongozi wa kwanza walio karibu na wananchi hivyo basi wanatakiwa kuwafahamu wakazi wa maeneo yao.
Hayo yamesemwa jana na Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Vuai Ally Vuai wakati akifungua semina ya siku moja ya uwezeshaji wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-l0i_ga53EAY/VKJxkqytSfI/AAAAAAAG6kg/AxBOAjTwWvc/s72-c/33.jpg)
Matukio ya kutishia amani ya nchi na usalama wa raia yatapungua kama mabalozi wa nyumba kumi watafanya kazi zao kwa uaminifu - Vuai Ally Vuai
![](http://1.bp.blogspot.com/-l0i_ga53EAY/VKJxkqytSfI/AAAAAAAG6kg/AxBOAjTwWvc/s1600/33.jpg)
Matukio ya kutishia amani ya nchi na usalama wa raia yatapungua kama mabalozi wa nyumba kumi watafanya kazi zao kwa uaminifu kwani wao ni viongozi wa kwanza walio karibu na wananchi hivyo basi wanatakiwa kuwafahamu wakazi wa maeneo yao.
Hayo yamesemwa jana na Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Vuai Ally Vuai wakati akifungua semina ya siku moja ya uwezeshaji wa chama hicho kwa mabalozi (viongozi wa mashina) wa wilaya ya Lindi mjini.
Vuai...
10 years ago
Mwananchi07 Apr
OUT wapewa somo la mapato
9 years ago
Habarileo30 Dec
Wahitimu ukocha wapewa somo
WAHITIMU wa mafunzo ya ualimu wa mpira wa miguu wametakiwa kutenga muda wa kufundisha vijana pasipo na kutegemea kupatiwa malipo.
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Wazalishaji wa matanki wapewa somo
WAZALISHAJI wa bidhaa za kuhifadhia maji nchini wametakiwa kupanua wigo wa soko na kuenea hadi maeneo ya vijijini ili kuwakomboa wananchi wanaotaabika kutokana na kero ya maji. Rai hiyo ilitolewa...
9 years ago
Habarileo02 Nov
Wanasiasa walioshindwa wapewa somo
VIONGOZI wa vyama vya siasa ambao wanadhani hawakutendewa haki katika Uchaguzi Mkuu uliomalizika hivi karibuni, wametakiwa kutumia njia za busara, hekima na taratibu za kisheria za kidiplomasia katika kudai haki yao na sio kutaka kuvuruga amani na kusababisha damu kumwagika.
10 years ago
Habarileo19 Dec
Viongozi wa siasa wapewa somo
ASKOFU Julius Bundala wa Kanisa la PHAM katika Kanda ya Kati ameshauri viongozi wa vyama vya siasa kuacha kuwashinikiza wananchi kiitikadi wakati wanapofikia muda wa kufanya uchaguzi wa viongozi wao.
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Wasajili wa kampuni wapewa somo
WADAU wanaoshughulika moja kwa moja na mchakato wa usajili wa kampuni nchini wametakiwa kufanya kazi kwa karibu zaidi, ili kuimarisha kiwango cha Tanzania kimataifa katika kujenga mazingira ya biashara. Katibu...