Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LIPUMBA, MBATIA NA MWIGULU WAKIFANYA YAO

Mwenyekiti wa CUF Taifa Prof. Ibrahim Lipumba (kushoto), Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi taifa, James Mbatia (katikati) na Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba (kulia) wakicheka kwa pamoja jana katika uzinduzi wa Kituo cha Runinga cha Azam kilichopo maeneo ya Tabata jijini Dar es Salaam.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

Wasanii wakifanya yao kwenye jukwaa la Jamhuri Dodoma #TanzaniaNaiamini

Diamond Platnumz ni mmoja ya wasanii ambao kiukweli walifanya show kali sana, uwanja mzima ulikuwa full kelele kinoma noma  yan wasanii zaidi ya 50 wakiwemo Bongo Movie walifanya yao... Ashlay...

Mh. Temba na Chegge

Diamond

Diamond Diamond na Martin Kadinda

Godzillah...

Madee na Raymond

Madaee...

Adam Mchovu....

Msami Beibyyy...

Shilole...

Wasanii wakiimba kwa pamoja....

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha Nyuma ya Kamera: Yusuph Mlela Akiwa na Asha Boko Wakifanya Yao

Hizi ni baadhi ya picha zilizopigwa wakati wa utengenezaji wa Movie mpya itakayojumuisha mastaa kadhaa wakiwemo, Yusuph Mlela na Asha Boko.

Jina la Movie na itatoka lini? Bado havijawekwa wazi.

Kwauzoefu wako na uelewa wako unadhani movie hii itakuwa ni ya namna gani? Mlela na Asha Boko wamecheza kwenye movie hii wakiwa na mahusiano ya namna gani?

 

10 years ago

Mwananchi

Prof Lipumba, Mbatia, Zitto waichana Serikali

Dar es Salaam. Viongozi wa vyama vya siasa vya CUF, NCCR-Mageuzi, NLD na ACT-Wazalendo wameitupia lawama Serikali kwa kushindwa kutekeleza maagizo yanayotolewa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

 

10 years ago

Vijimambo

LIPUMBA, NCHEMBA NA MBATIA WAKUTANA KWENYE UZINDUZI WA AZAM TV

Mwenyekiti wa CUF Taifa Prof. Ibrahim Lipumba (kushoto), Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi taifa, James Mbatia (katikati) na Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba (kulia) wakicheka kwa pamoja jana katika uzinduzi wa Kituo cha Runinga cha Azam kilichopo maeneo ya Tabata jijini Dar es Salaam.Wakiteta jambo.
(PICHA GPL NA MTANDAO)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani