Mashabiki wa MAKUMBA FC wakifanya yao ndani ya NDONDO CUP
![](http://img.youtube.com/vi/5lKCyomjesE/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2PtAZ8RXsWbIWDdaoo8jbNo7K4KsAUSmW12JZW-v38uBOvLNtkoDtVOzsua3m*NBOtc8o5Mjfq5IMlwdWrHZPHX/3dogolilanaHilal3.jpg?width=650)
DOGO LILA NA DOGO HILAL WAKIFANYA YAO NDANI YA DAR LIVE
Dogo Lila na Dogo Hilal wakifanya makamuzi ya nguvu ndani ya Dar Live.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/1-001.jpg)
FAINALI NDONDO CUP
Kikosi cha Kauzu FC katika ubora wake. Kikosi cha Faru Jeuri. Mmoja wa mashabiki ambaye alikuwa hajui hata majina ya timu zilizokuwa zikicheza. Chibuku na viroba vya pombe kali ilikuwa ndio mpango mzima. Mashabiki wa Kauzu FC, wakati wa mapumziko.…
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/-AILYsiV8E8/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7F975s5rOKjMM8A1FkcYiMqZ43UJMMCkwbURzhwrYDAwoOCXwsLNMmEBqKHa9Gpp3OGijX7qQSpS4InbIeMa7PiRtsye*j0a/10553489_879214282140644_7334558439819393564_n.jpg?width=750)
LIPUMBA, MBATIA NA MWIGULU WAKIFANYA YAO
Mwenyekiti wa CUF Taifa Prof. Ibrahim Lipumba (kushoto), Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi taifa, James Mbatia (katikati) na Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba (kulia) wakicheka kwa pamoja jana katika uzinduzi wa Kituo cha Runinga cha Azam kilichopo maeneo ya Tabata jijini Dar es Salaam.…
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HUj2p6OfWUA/VTfsnowZ6xI/AAAAAAAHSpQ/67hA4GASeKo/s72-c/download.jpg)
NDONDO CUP YANUKIA JIJINI ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-HUj2p6OfWUA/VTfsnowZ6xI/AAAAAAAHSpQ/67hA4GASeKo/s1600/download.jpg)
Lengo la michuano hiyo ni kuwakutanisha wapenda soka mkoa wa Arusha pamoja na kuwapa nafasi wa mashabiki wa mchezo huo Mkoani hapa kukutana sehemu moja.
Michuano hii itaanza kutimua vumbi siku ya Ijumaa ya tarehe 24/04/2015 na kufika tamati siku ya jumapili.Mshindi wa kwanza katika michuano hii atapata zawadi ya fedha taslimu shilingi laki tano (500,000)...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/D4CT9AA2ZG8/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kqu4JOS-VwNf3VppKrJu1K*4JaEF9g4cEupaRmt1i-FJwn**O7KncbsDGL7z-akBbEw1o2*k87v9RzGc7UbYfb39lsZlU8B1/baadhiyawawakilishiwatimuzitakazoshirikimashindanohayo.jpg?width=650)
SPORTS EXTRA NDONDO CUP YAPIGWA KALENDA
Baadhi ya wawakilishi wa timu zitakazoshiriki mashindano hayo wakimsikiliza mmoja wa wawakilishi wa waandaaji, Alex Lwambano. Wawakilishi wa waandaaji wa mashindano hayo kutoka kushoto: Said Pambalelo, Yahya Mohammed na Alex Lwambano wakijadiliana jambo.…
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Tm-JGzm9ycQ/VUEKoJX2s9I/AAAAAAAC3yg/ziliOytnw00/s72-c/1.jpg)
TIMU YA NYOTA FC YANYAKUA KOMBE LA NDONDO CUP
Ashura Mohamed-Arusha
Timu ya Soka ya Nyota Fc imeichapa timu ya Ambrella Garden Fc kwa Magoli Sita kwa Matano na kufanikiwa kuondoka na kombe la Ndondo Cup Sambamba na Kitita cha Shilingi Laki Tano Taslimu katika fainali za Ndondo Cup zilizofanyika katika viwanja vya Aicc vilivyopo Jijini Arusha.
Akizungumza wakati wa fainali hizo Naibu meya wa Jiji la Arusha Prosper Msofe alisema kuwa mashindano hayo ya ndondo Cup yamewakutananisha vijana wengi ambao wamepata fursa ya kuonesha...
Timu ya Soka ya Nyota Fc imeichapa timu ya Ambrella Garden Fc kwa Magoli Sita kwa Matano na kufanikiwa kuondoka na kombe la Ndondo Cup Sambamba na Kitita cha Shilingi Laki Tano Taslimu katika fainali za Ndondo Cup zilizofanyika katika viwanja vya Aicc vilivyopo Jijini Arusha.
Akizungumza wakati wa fainali hizo Naibu meya wa Jiji la Arusha Prosper Msofe alisema kuwa mashindano hayo ya ndondo Cup yamewakutananisha vijana wengi ambao wamepata fursa ya kuonesha...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/oJmyHWQMGPc/default.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania