Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashabiki wa MAKUMBA FC wakifanya yao ndani ya NDONDO CUP

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

DOGO LILA NA DOGO HILAL WAKIFANYA YAO NDANI YA DAR LIVE

Dogo Lila na Dogo Hilal wakifanya makamuzi ya nguvu ndani ya Dar Live.

 

9 years ago

GPL

FAINALI NDONDO CUP

Kikosi cha Kauzu FC katika ubora wake. Kikosi cha Faru Jeuri. Mmoja wa mashabiki ambaye alikuwa hajui hata majina ya timu zilizokuwa zikicheza. Chibuku na viroba vya pombe kali ilikuwa ndio mpango mzima. Mashabiki wa Kauzu FC, wakati wa mapumziko.…

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

GPL

LIPUMBA, MBATIA NA MWIGULU WAKIFANYA YAO

Mwenyekiti wa CUF Taifa Prof. Ibrahim Lipumba (kushoto), Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi taifa, James Mbatia (katikati) na Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba (kulia) wakicheka kwa pamoja jana katika uzinduzi wa Kituo cha Runinga cha Azam kilichopo maeneo ya Tabata jijini Dar es Salaam.…

 

10 years ago

Michuzi

NDONDO CUP YANUKIA JIJINI ARUSHA

Mkoani Arusha mwishoni mwa juma hili kunataraji kufanyika michuano ya NDONDO CUP itakayoshirikisha jumla ya timu nane kutoka mkoani hapa.
Lengo la michuano hiyo ni kuwakutanisha wapenda soka mkoa wa Arusha pamoja na kuwapa nafasi wa  mashabiki wa mchezo huo Mkoani hapa kukutana sehemu moja.
Michuano hii itaanza kutimua vumbi siku ya Ijumaa ya tarehe 24/04/2015 na kufika tamati siku ya jumapili.Mshindi wa kwanza katika michuano hii atapata zawadi ya fedha taslimu shilingi laki tano (500,000)...

 

10 years ago

GPL

SPORTS EXTRA NDONDO CUP YAPIGWA KALENDA

Baadhi ya wawakilishi wa timu zitakazoshiriki mashindano hayo wakimsikiliza mmoja wa wawakilishi wa waandaaji, Alex Lwambano. Wawakilishi wa waandaaji wa mashindano hayo kutoka kushoto: Said Pambalelo, Yahya Mohammed na Alex Lwambano wakijadiliana jambo.…

 

10 years ago

Michuzi

TIMU YA NYOTA FC YANYAKUA KOMBE LA NDONDO CUP

Ashura Mohamed-Arusha
Timu ya  Soka ya Nyota  Fc imeichapa timu ya Ambrella Garden Fc  kwa  Magoli  Sita kwa Matano na kufanikiwa kuondoka na kombe la Ndondo Cup  Sambamba na Kitita cha Shilingi  Laki  Tano Taslimu  katika fainali za Ndondo Cup zilizofanyika katika viwanja vya Aicc vilivyopo Jijini Arusha.
Akizungumza wakati wa fainali hizo Naibu meya wa Jiji la Arusha Prosper Msofe alisema kuwa mashindano hayo ya ndondo Cup yamewakutananisha vijana wengi ambao wamepata fursa ya kuonesha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani