Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbowe: CCM ni Mbugi

KIONGOZI wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, amekifananisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mchezo wa ‘Mbugi’. Wakati Mbowe akiwaita CCM Mbugi, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mbowe: Tuliishika CCM

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Freeman Mbowe (CHADEMA), amesema kuwa waliufahamu mapema mkakati wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kutaka kuminya muda wa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya...

 

10 years ago

Michuzi

EDWARD MBUGI WA MBOZI AKABIDHIWA SHILINGI MILIONI 1/- ALIZOJISHINDIA KUPITIA PROMOSHENI YA JAY MILLIONS

Mkazi wa Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Mbeya Edward Mbugi,amekabidhiwa fedha zake kiasi cha shilingi Milioni 1/-na Mkuu wa Vodacom Tanzania kanda ya Nyandaya Kusini,Macfadyne Minja,alizojishindia kupitia promosheni ya Jay Millions inayoendeshwa na kampuni hiyo. Akizungumza muda mfupi baada ya kukabidhiwa fedha zake za Ushindi, mshindi wa Shilingi Milioni 1 wa Promosheni hiyo, Edward Mbugi, amesema kwanza kabisa hakuamini kama ameshinda kwani kumekuwa na kasumba ya washindi wengi wanaoshinda...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbowe awaumbua wanafiki CCM

MJUMBE wa Bunge Maalumu, Freeman Mbowe, amewaumbua wajumbe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwa wengi wao ni wanafiki katika kuchangia mijadala na hoja bungeni. Mbowe alisema kutokana na unafiki huo,...

 

10 years ago

Habarileo

CCM yatikisa kwa Mbowe, Lipumba

Viongozi wa UkawaMATOKEO ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika mwishoni mwa wiki kote nchini, yameendelea kuanikwa na kuonesha CCM imeendelea kung’ara.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwa CCM tatizo si CHADEMA ni Mbowe

NDUGU wasomaji, ninapenda sana kuwapa pole kwa kifo cha shujaa wa mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi Nelson Ndlahla Mandela. Kila gazeti, runinga na redio zimeelezea wasifu wake kiasi cha...

 

10 years ago

GPL

EDWARD MBUGI AKABIDHIWA FEDHA ZAKE SHILINGI MILIONI 1/- ALIZOJISHINDIA KUPITIA PROMOSHENI YA JAY MILLIONS‏

Mkuu wa Vodacom Tanzania Kanda ya Nyasa, Macfadyne Minja (kushoto) akipokea pesa kiasi cha shilingi Milioni 1/- toka kwa wakala wa M-PESA jijini Mbeya kwa ajili ya kumkabidhi rasmi mkazi wa Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Mbeya, Edward Mbugi (kulia) alizojishindia kupitia promosheni ya JayMillions wakati wa hafla fupi iliyofanyika jijini humo hivi karibuni. Ili mteja kujua kama ameshinda anatakiwa kutuma neno Jay au AUTO kwenda...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbowe aitahadharisha CCM kuhusu Serikali Tatu

Leticia Ghati na Haji Ambar Khamis jana wamechaguliwa kuwa Makamu Wenyeviti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, katika Mkutano Mkuu wa Nane wa chama hicho uliofanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbowe: Serikali ya CCM ina mfumo wa kirafiki

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ina mfumo wa kirafiki katika utawala wenye utitiri wa viongozi unaogharimu taifa mamilioni...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbowe: Tabora ni kama vile wamepewa limbwata na CCM

>Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema wananchi wa Mkoa wa Tabora ni kama wamepewa limbwata na CCM na kuendelea kutoa majimbo yote 10 kwa chama hicho licha ya mkoa huo kuwa miongoni mwa mikoa maskini nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani