Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbowe: Serikali ya CCM ina mfumo wa kirafiki

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ina mfumo wa kirafiki katika utawala wenye utitiri wa viongozi unaogharimu taifa mamilioni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

‘CCM ina masilahi na Serikali mbili’

>Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesisitiza msimamo wake wa kutaka kuendelea na muundo wa Serikali mbili huku kikiweka wazi kuwa kina masilahi makubwa na mfumo huo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbowe aitahadharisha CCM kuhusu Serikali Tatu

Leticia Ghati na Haji Ambar Khamis jana wamechaguliwa kuwa Makamu Wenyeviti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, katika Mkutano Mkuu wa Nane wa chama hicho uliofanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee.

 

10 years ago

Habarileo

Mbowe ‘alia’ na mfumo wa elimu nchini

Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman MboweMWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amesema kuwa tatizo la elimu hapa nchini linasababishwa na wasimamizi wa mfumo wa elimu.

 

10 years ago

Vijimambo

Mbowe aibua mapya mfumo wa BVR.

Asema mtaalamu alionya Tanzania haijawa tayari, Usajili ukiendelea utasababisha machafuko ya kisiasa.Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amedai kuibua nyaraka zinazoonyesha Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), ilishauriwa na mtaalamu wa mashine za BVR kutoka Marekani kuwa Tanzania haijawa tayari kwa teknolojia hiyo.
Akifungua kikao cha baraza la uongozi wa chama hicho Kanda za Nyanda za Juu Kusini jana alisema, Mshauri Mwelekezi kutoka Marekani Darell Geusz...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani