Serikali ya Muungano imeegamia Bara
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amesema katika kuchambua malalamiko ya pande zote mbili, wamebaini kuwa muundo wa Muungano wa serikali mbili, umeifanya Serikali ya Muungano kwa kiwango kikubwa kushughulikia zaidi mambo ya Tanzania Bara hasa maendeleo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo19 Mar
Muungano umeegamia Bara
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amesema katika kuchambua malalamiko ya pande zote mbili, wamebaini kuwa muundo wa Muungano wa serikali mbili, umeifanya Serikali ya Muungano kwa kiwango kikubwa kushughulikia zaidi mambo ya Tanzania Bara hasa maendeleo.
11 years ago
Habarileo05 Apr
‘Tanzania Bara itavua koti la Muungano’
MWENYEKITI wa Kamati namba Sita ya Bunge Maalum la Katiba, Stephen Wassira amesema kamati yake imependekeza Tanzania Bara kuvua koti la Muungano, linalodaiwa kuvaliwa ili koti hilo sasa livaliwe na pande zote za Tanzania Bara na Zanzibar, kama njia ya kuimarisha Muungano.
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
Majina ya Zanzibar, Tanzania Bara ni sumu kwa Muungano
MNYUKANO unaoendelea kwa sasa katika Bunge Maalumu la Katiba ni wa muundo wa Muungano wa Tanzania. Ni katika mjadala wa serikali mbili dhidi ya serikali tatu kama zilivyopendekezwa kwenye Rasimu...
10 years ago
VijimamboTANZANIA BARA YAKUBALI KIPIGO CHA GOLI 7-1 KUTOKA ZANZIBAR HEROES WADAI WAMEFUNGWA KUIMARISHA MUUNGANO
11 years ago
Habarileo10 Mar
KWA NINI SERIKALI 2 HAZIEPUKIKI?:Uchumi Zanzibar unategemea Bara
WAKATI Bunge Maalum la Katiba likisuasua katika kuunda kanuni za kuongoza wajumbe wake, taarifa zinaonesha katika muundo uliopo wa serikali mbili, mbali na kuimarisha umoja na mshikamano wa Taifa, pia Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imekuwa ikinufaika nao kiuchumi.
11 years ago
Habarileo15 Mar
'Serikali 3 zitavunja Muungano'
MJUMBE wa Baraza la Katiba na aliyewahi kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Mohammed Seif Khatibu amesema muundo wa Serikali tatu hautaisaidia nchi bali ni njia ya mzunguko kuvunja muungano.
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Serikali ya muungano Palestina imevunjika
11 years ago
Habarileo09 Mar
‘Serikali 2 zitaimarisha Muungano'
WABUNGE wa Bunge Maalumu la Katiba wametakiwa kuhakikisha suala la muundo wa serikali mbili au tatu halififishi mema mengi yaliyomo kwenye Katiba, kwani kuna mambo mengi mazuri ambayo yanajibu kero na changamoto za wananchi.