Serikali ya muungano Palestina imevunjika
Serikali ya Palestina iliobuniwa ili kuponya mgawanyiko kati ya makundi ya Hamas na Fatah imevunjika.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili17 Jun
Serikali ya muungano Palestina kuvunjika
9 years ago
Dewji Blog30 Nov
UN wakishirikiana na Ubalozi wa Palestina wafanya maadhimisho ya siku ya kimataifa ya mshikamano na watu wa Palestina
Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Abdallah Kilima (katikati), Kaimu Balozi wa Palestine Derar Ghannam (kulia) pamoja na Balozi wa Sudan nchini Tanzania, Dkt. Yassir Mohammed Ali wakikata utepe kwa ajili ya maonesho ya picha za matukio mbalimbali yanayoendelea nchini Palestina hiyo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mshikamano na watu wa Palestina yaliyofanyika katika Chuo cha Diplomasia, Kurasini...
10 years ago
Michuzi.jpg)
Mabalozi mbalimbali wakisaini kitabu cha maombolezo ofisi za ubalozi wa Palestina kufuatia kifo cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais nchini Palestina, Ziad Abu Ein
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Habarileo23 May
Mifupa ya mtoto aliyeishi kwenye boksi imevunjika
POLISI mkoani Morogoro, inaendelea kuchungua kilichotokea mpaka mtoto mkoani hapa (jina limehifadhiwa), akateswa na mzazi mlezi kwa kuwekwa katika boksi tangu akiwa na miezi tisa, mpaka alipotimiza miaka minne. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonard Paul, amesema, baba mzazi wa mtoto huyo, Rashid Mvungi ambaye ni mtumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro alitakiwa kwenda kutoa maelezo kituoni leolakini hakutokea.
10 years ago
GPL
NDOA YA JACQUELINE PENTZEL NA GADNA DIBIBI IMEVUNJIKA!
9 years ago
Bongo506 Nov
Muigizaji wa Nollywood aeleza kwanini ndoa yake imevunjika na funzo kwetu sisi

Muigizaji wa Nollywood, Ini Edo ameamua kueleza runinga nchini humo sababu za kuvunjika kwa ndoa yake ya miaka mitano na Phillip Ehiagwina wa Marekani.
Muigizaji huyo asiyependa mambo yake yaongelewe sana kwenye mitandao na vyombo vya habari, aliweza kuelezea kwa uwazi mambo anayodhani yalisababisha ndoa yake ya miaka mitano kuvunjika.
Ndoa yake ambayo anasema kwa kiasi kikubwa iliathiriwa na umbali kwakuwa mumewe alikuwa Marekani yeye yupo Naijeria hivyo ukiondoa matatizo waliyokuwa nayo...
11 years ago
Habarileo15 Mar
'Serikali 3 zitavunja Muungano'
MJUMBE wa Baraza la Katiba na aliyewahi kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Mohammed Seif Khatibu amesema muundo wa Serikali tatu hautaisaidia nchi bali ni njia ya mzunguko kuvunja muungano.
11 years ago
Tanzania Daima09 Apr
MUUNGANO WA SERIKALI 2: Miaka 50 ya dhoruba
MCHAKATO wa kuandika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umeleta mjadala mpana na wenye utata juu ya mfumo na muundo wa serikali. Serikali mbili, kwa mujibu wa asili ya...
11 years ago
Habarileo09 Mar
‘Serikali 2 zitaimarisha Muungano'
WABUNGE wa Bunge Maalumu la Katiba wametakiwa kuhakikisha suala la muundo wa serikali mbili au tatu halififishi mema mengi yaliyomo kwenye Katiba, kwani kuna mambo mengi mazuri ambayo yanajibu kero na changamoto za wananchi.