Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali ya muungano Palestina imevunjika

Serikali ya Palestina iliobuniwa ili kuponya mgawanyiko kati ya makundi ya Hamas na Fatah imevunjika.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Serikali ya muungano Palestina kuvunjika

Rais wa Palestina amesema kuwa serikali ya muungano kati yake na wanamgambo wa Hamas itavunjika.

 

9 years ago

Dewji Blog

UN wakishirikiana na Ubalozi wa Palestina wafanya maadhimisho ya siku ya kimataifa ya mshikamano na watu wa Palestina

 Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Abdallah Kilima (katikati), Kaimu Balozi wa Palestine Derar Ghannam (kulia) pamoja na Balozi wa Sudan nchini Tanzania, Dkt. Yassir Mohammed Ali wakikata utepe kwa ajili ya maonesho ya picha za matukio mbalimbali yanayoendelea nchini Palestina hiyo  ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mshikamano na watu wa Palestina yaliyofanyika katika Chuo cha Diplomasia, Kurasini...

 

10 years ago

Michuzi

Mabalozi mbalimbali wakisaini kitabu cha maombolezo ofisi za ubalozi wa Palestina kufuatia kifo cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais nchini Palestina, Ziad Abu Ein

 Balozi wa Sudan nchini, Dr Yassir Mohamed Ali akijiandaa kusaini kitabu cha maombolezo ofisi za ubalozi wa Palestina Tanzania eneo la upanga Dar es Salaam leo, kufuatia kifo cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais nchini Palestina, Ziad Abu Ein, aliyefariki Jumatano wiki hiiBalozi wa Iran nchini, Mehd Aghajafari akisaini kitabu cha maombolezo ofisi za ubalozi wa Palestina Tanzania eneo la upanga Dar es Salaam leo, kufuatia kifo cha Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais nchini Palestina, Ziad Abu Ein,...

 

11 years ago

Habarileo

Mifupa ya mtoto aliyeishi kwenye boksi imevunjika

POLISI mkoani Morogoro, inaendelea kuchungua kilichotokea mpaka mtoto mkoani hapa (jina limehifadhiwa), akateswa na mzazi mlezi kwa kuwekwa katika boksi tangu akiwa na miezi tisa, mpaka alipotimiza miaka minne. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Leonard Paul, amesema, baba mzazi wa mtoto huyo, Rashid Mvungi ambaye ni mtumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro alitakiwa kwenda kutoa maelezo kituoni leolakini hakutokea.

 

10 years ago

GPL

NDOA YA JACQUELINE PENTZEL NA GADNA DIBIBI IMEVUNJIKA!

Na Mwandishi Wetu/Ijumaa
NDOA iliyodumu kwa miaka miwili na nusu kati ya mwigizaji wa filamu Jacqueline Pentzel na Gadna Dibibi imevunjika, Ijumaa lina mkanda kamili. Mwigizaji wa filamu za Kibongo, Jacqueline Pentzel. Kwa mujibu wa chanzo makini, wawili hao waliachana baada ya kutuhumiana kutoka nje ya ndoa yao, jambo ambalo baada ya kuvumiliana kwa muda mrefu, hatimaye wameamua kubwaga manyanga. Inadaiwa kwamba kwa zaidi ya...

 

9 years ago

Bongo5

Muigizaji wa Nollywood aeleza kwanini ndoa yake imevunjika na funzo kwetu sisi

Ini-Edo1

Muigizaji wa Nollywood, Ini Edo ameamua kueleza runinga nchini humo sababu za kuvunjika kwa ndoa yake ya miaka mitano na Phillip Ehiagwina wa Marekani.

Ini-Edo-1

Muigizaji huyo asiyependa mambo yake yaongelewe sana kwenye mitandao na vyombo vya habari, aliweza kuelezea kwa uwazi mambo anayodhani yalisababisha ndoa yake ya miaka mitano kuvunjika.

Ndoa yake ambayo anasema kwa kiasi kikubwa iliathiriwa na umbali kwakuwa mumewe alikuwa Marekani yeye yupo Naijeria hivyo ukiondoa matatizo waliyokuwa nayo...

 

11 years ago

Habarileo

'Serikali 3 zitavunja Muungano'

MJUMBE wa Baraza la Katiba na aliyewahi kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Mohammed Seif Khatibu amesema muundo wa Serikali tatu hautaisaidia nchi bali ni njia ya mzunguko kuvunja muungano.

 

11 years ago

Tanzania Daima

MUUNGANO WA SERIKALI 2: Miaka 50 ya dhoruba

MCHAKATO wa kuandika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania umeleta mjadala mpana na wenye utata juu ya mfumo na muundo wa serikali. Serikali mbili, kwa mujibu wa asili ya...

 

11 years ago

Habarileo

‘Serikali 2 zitaimarisha Muungano'

WABUNGE wa Bunge Maalumu la Katiba wametakiwa kuhakikisha suala la muundo wa serikali mbili au tatu halififishi mema mengi yaliyomo kwenye Katiba, kwani kuna mambo mengi mazuri ambayo yanajibu kero na changamoto za wananchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani