Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miradi ya MCA-T yanufaisha Serikali ya Muungano

PICHA ZA KUKABIDHI VIFAA 3 - 1

Waziri Fedha na Uchumi, Saada Mkuya.

Na Mwandishi wetu- Hazina

Maendeleo ya nchi yoyote duniani yanatokana na rasilimali zilizopo katika nchi husika na mipango madhubuti iliyojiwekea.

Serikali imeanzisha sera za uchumi na programu za maendeleo kwa lengo la kuwawezesha watu na kukuza  uchumi nchini.

Sera hizo pamoja na mikakati  mbalimbali ilitungwa kwa lengo la kuwawezesha kiuchumi Watanzania  ili wamiliki, waendeshe na wanufaike na uchumi  wao kufuatia Dira ya Maendeleo iliyojiwekea ya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Miradi mipya ya maji yanufaisha maelfu

WAKAZI wapatao 13,700 katika mikoa ya Pwani na Morogoro wameanza kufaidika na miradi mipya ya maji iliyozinduliwa jana.

 

11 years ago

TheCitizen

International Treaties must get Parliament nod, says MCA

>Tanzania needs a provision in the new Constitution that will make it mandatory for Parliament to discuss and endorse all international agreements and treaties before the country becomes a signatory to them, a Member of the Constituent Assembly (MCA) has said

 

10 years ago

TheCitizen

MCA criticises ‘unsubstantial’ reporting scam

In the sister tabloid of Bongo’s huge and colourful broadsheet (Sunday, Sept. 7 edition), there’s a story with the headline “Make fresh livestock census, Pinda orders stakeholders”, in which the scribbler says in his intro:

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mucoba yanufaisha 33,000

BENKI ya Wananchi Mufindi (Mucoba), yenye makao makuu wilayani Mufindi mkoani hapa, imewanufaisha zaidi ya wanachama 33,000 kwa kuwapa mikopo yenye thamani ya sh bilioni 10 kwa lengo la kuanzisha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali haifadhili miradi ya mazingira

OFISI ya Makamu wa Rais imesema haina fedha za kuwasaidia vijana katika miradi ya kuhifadhi mazingira. Akijibu swali bungeni jana, Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais, Charles Kitanga alisema...

 

10 years ago

BBCSwahili

Solar yanufaisha wanawake Unguja

Mradi wa Solar wawanufaisha kiuchumi wanawake wa Unguja, nchini Tanzania

 

11 years ago

Tanzania Daima

NHIF yanufaisha 600 Arusha

ZAIDI ya watu 600 wamenufaika na huduma za upimaji afya bure zinazotolewa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) katika maadhimisho ya miaka 50 ya Chuo cha Maendeleo...

 

11 years ago

Michuzi

TASAF YANUFAISHA WANA-MTWARA

 Na Hassan Simba, Mtwara  IMEELEZWA kuwa kufikishwa kwa elimu juu ya mpango wa kunusuru kaya masikini unaoendeshwa na mfuko wa maendeleo ya jamii nchini tasaf awamu ya tatu, ndio chachu ya mafanikio ya mpango huo yaliyokwishaanza kuonekana kwa jamii ya wakazi wa Mtwara.  Hayo yameelezwa na mkurugenzi mtendaji wa mfuko huo Bw. Ladislaus Mwamanga, alipokuwa anaongea na mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Mtwara Idd Mshili, ofini kwake alikokwenda kumtembelea kabla ya kwenda...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali kumalizia miradi ya ujenzi wa shule

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Amali imesema itaendelea na kutekeleza sera ya elimu ya kusaidia na kumaliza ujenzi wa majengo ya miradi ya shule zinazojengwa na wananchi au taasisi.

 

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani