Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NHIF yanufaisha 600 Arusha

ZAIDI ya watu 600 wamenufaika na huduma za upimaji afya bure zinazotolewa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) katika maadhimisho ya miaka 50 ya Chuo cha Maendeleo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WAJASIRIMALI TUMIENI FURSA YA KUJIUNGA NA NHIF KWA KUCHANGIA SH.78,600 KWA MWAKA

 Meneja wa Mfuko wa Bima ya Afya Mkoa wa Kinondoni ,Grace Temba akizungumza leo na wajasirimali wa Mkoa wa Kinondoni (hawapo pichani) juu ya faida ya kujiunga na mfuko huo kupitia Mtandao wa ASEE iliyofanyika katika ukumbi Pricess ,Sinza Jijini Dar es Salaam.

 Afisa Matekelezo na Uratibu wa NHIF,Catherine Masingisa akitoa maada kwa wajasirimali wa Mkoa wa Kinondoni (hawapo pichani) namna ya kujiunga  na mfuko wa Bima ya Afya  kupitia vikundi vya ujasiriamali iliyofanyika Katika Ukumbi wa...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA KAZI NA AJIRA,GAUDENSIA KABAKA AZINDUA BARAZA LA WAFANYAKAZI LA NHIF ARUSHA.

 Waziri wa Kazi na Ajira,Gaudensia Kabaka akizungumza wakati akizindua Baraza la Wafanyakazi wa Mfuko wa Bima ya Afya(NHIF) jijini Arusha leo,kushoto ni Naibu Mkurugenzi wa NHIF,Michael Mhando na kulia ni Makamu Mwenyekiti  aliyechaguliwa wa Baraza la Wafanyakazi,Deudedit Rutazaa. Naibu Mkurugenzi wa Mfuko wa Bima ya Afya nchini(NHIF),Michael Mhando akitoa hotuba yake leo wakati wa mkutano wa uchaguzi na uzinduzi wa Baraza la Wafanyakazi wa mfuko huo.  Makamu Mwenyekiti wa Baraza la...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mucoba yanufaisha 33,000

BENKI ya Wananchi Mufindi (Mucoba), yenye makao makuu wilayani Mufindi mkoani hapa, imewanufaisha zaidi ya wanachama 33,000 kwa kuwapa mikopo yenye thamani ya sh bilioni 10 kwa lengo la kuanzisha...

 

10 years ago

BBCSwahili

Solar yanufaisha wanawake Unguja

Mradi wa Solar wawanufaisha kiuchumi wanawake wa Unguja, nchini Tanzania

 

11 years ago

Michuzi

TASAF YANUFAISHA WANA-MTWARA

 Na Hassan Simba, Mtwara  IMEELEZWA kuwa kufikishwa kwa elimu juu ya mpango wa kunusuru kaya masikini unaoendeshwa na mfuko wa maendeleo ya jamii nchini tasaf awamu ya tatu, ndio chachu ya mafanikio ya mpango huo yaliyokwishaanza kuonekana kwa jamii ya wakazi wa Mtwara.  Hayo yameelezwa na mkurugenzi mtendaji wa mfuko huo Bw. Ladislaus Mwamanga, alipokuwa anaongea na mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Mtwara Idd Mshili, ofini kwake alikokwenda kumtembelea kabla ya kwenda...

 

11 years ago

Dewji Blog

Miradi ya MCA-T yanufaisha Serikali ya Muungano

PICHA ZA KUKABIDHI VIFAA 3 - 1

Waziri Fedha na Uchumi, Saada Mkuya.

Na Mwandishi wetu- Hazina

Maendeleo ya nchi yoyote duniani yanatokana na rasilimali zilizopo katika nchi husika na mipango madhubuti iliyojiwekea.

Serikali imeanzisha sera za uchumi na programu za maendeleo kwa lengo la kuwawezesha watu na kukuza  uchumi nchini.

Sera hizo pamoja na mikakati  mbalimbali ilitungwa kwa lengo la kuwawezesha kiuchumi Watanzania  ili wamiliki, waendeshe na wanufaike na uchumi  wao kufuatia Dira ya Maendeleo iliyojiwekea ya...

 

10 years ago

Habarileo

Miradi mipya ya maji yanufaisha maelfu

WAKAZI wapatao 13,700 katika mikoa ya Pwani na Morogoro wameanza kufaidika na miradi mipya ya maji iliyozinduliwa jana.

 

10 years ago

Michuzi

Huduma ya Simu Dokta yanufaisha maelfu ya watanzania


Idadi ya wanaojiunga nayo yazidi kuongezeka

Kulwa Saiduni wa Bombo,mkoani Tanga ni miongoni mwa maelfu ya watanzania wanaoweza kupata taarifa zinazohusu afya katika hali ya utulivu wakiwa majumbani mwao.Hii inatokana na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom kuanzisha huduma ya Simu Dokta ambayo inawawezesha wateja wake waliojiunga na huduma hii kupata taarifa za afya kupitia simu zao za mkononi.
Hii huduma ni ya aina yake kuanzishwa nchini Tanzania ikiwa inatolewa na Vodacom.Inashirikisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani