Mjumbe apinga posho zaidi
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ally Keissy, amewashambulia wajumbe wenzake wanaotaka kuongezewa posho kwa madai hawawaonei huruma wananchi wengi wasio na uhakika wa mlo wa siku. Alisema ni jambo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Tuko Dodoma kula posho tu - Mjumbe
10 years ago
Habarileo27 Aug
‘Hakuna mjumbe Bunge Maalumu anayedai posho’
OFISI ya Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma, imefafanua juu ya kuchelewa kwa posho wa wajumbe wa bunge hilo, akisema zilichelewa kutokana na sababu za kiutaratibu wa fedha na kwamba kwa sasa hakuna mjumbe anayedai posho.
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Mwingine awageuka wanaodai posho zaidi Bunge la Katiba
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Posho zakwamisha Kamati za Bunge zakwama posho
9 years ago
Raia Mwema25 Nov
Posho ya siku ni posho ya kujikimu siyo ya kujikirimia
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
JK apinga serikali tatu
RAIS Jakaya Kikwete amefanya kampeni ya wazi kutetea mfumo wa serikali mbili unaopiganiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), huku akitumia muda mrefu kujaribu kuonyesha ‘ubaya’ wa mfumo wa serikali tatu....
11 years ago
Mwananchi21 Jan
Akilimali apinga kutulizwa
10 years ago
Habarileo14 Nov
Slaa apinga utafiti wa Twaweza
SIKU moja baada ya Taasisi ya Twaweza kuanika matokeo ya utafiti wake, uliofanywa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwakani, wanasiasa na wasomi mbalimbali wameupokea kwa hisia tofauti.
11 years ago
Habarileo22 Mar
Kikwete apinga kuwang'oa wabunge
RAIS Jakaya Kikwete amepinga pendekezo la rasimu ya Katiba ambalo linataka wananchi wawe na haki ya kuwaondoa wabunge wao kwa vile linaweza kuleta msuguano mkubwa bungeni. Akihutubia jana Bunge Maalum la Katiba, Kikwete alisema jambo hilo ni jema lakini wajumbe hao wanatakiwa walitafakari kwani wale watakaoshindwa wanaweza kuleta msuguano ili mradi aliyeshinda aondolewe na wananchi.