Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjumbe apinga posho zaidi

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ally Keissy, amewashambulia wajumbe wenzake wanaotaka kuongezewa posho kwa madai hawawaonei huruma wananchi wengi wasio na uhakika wa mlo wa siku. Alisema ni jambo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tuko Dodoma kula posho tu - Mjumbe

Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Alli Omari Juma amefuta matumaini ya Watanzania kuhusu kupatikana kwa Katiba mpya, badala yake akabainisha kuwa wajumbe wako Dodoma kwa ajili ya kula posho tu.

 

10 years ago

Habarileo

‘Hakuna mjumbe Bunge Maalumu anayedai posho’

Mkurugenzi wa Habari na Itifaki wa Bunge, Jossey MwakasyukaOFISI ya Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma, imefafanua juu ya kuchelewa kwa posho wa wajumbe wa bunge hilo, akisema zilichelewa kutokana na sababu za kiutaratibu wa fedha na kwamba kwa sasa hakuna mjumbe anayedai posho.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwingine awageuka wanaodai posho zaidi Bunge la Katiba

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba anayewakilisha kundi la wafanyakazi, Dotto Mashaka ametofautiana na wabunge wenzake na kusikitishwa na kelele zilizoibuka hivi karibuni za wabunge kulilia posho kuongezwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Posho zakwamisha Kamati za Bunge zakwama posho

Ofisi ya Bunge imesema baadhi ya kamati zake zitalazimika kumalizia shughuli zake katika ofisi zao za Dar es Salaam, kwa kuwa haiwezi kuziwezesha zote kusafiri kwa ajili ya ukaguzi maeneo mbalimbali ya nchi.

 

9 years ago

Raia Mwema

Posho ya siku ni posho ya kujikimu siyo ya kujikirimia

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.

Hidaya

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK apinga serikali tatu

RAIS Jakaya Kikwete amefanya kampeni ya wazi kutetea mfumo wa serikali mbili unaopiganiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), huku akitumia muda mrefu kujaribu kuonyesha ‘ubaya’ wa mfumo wa serikali tatu....

 

11 years ago

Mwananchi

Akilimali apinga kutulizwa

Siku moja baada ya kufungwa mdomo kuzungumzia masuala ya klabu, Katibu wa Baraza la Wazee la Yanga Ibrahim, Akilimali maarufu ‘Abromovich’ amesema hatasita kuongea iwapo kuna jambo litamkera.

 

10 years ago

Habarileo

Slaa apinga utafiti wa Twaweza

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa SIKU moja baada ya Taasisi ya Twaweza kuanika matokeo ya utafiti wake, uliofanywa kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwakani, wanasiasa na wasomi mbalimbali wameupokea kwa hisia tofauti.

 

11 years ago

Habarileo

Kikwete apinga kuwang'oa wabunge

RAIS Jakaya Kikwete amepinga pendekezo la rasimu ya Katiba ambalo linataka wananchi wawe na haki ya kuwaondoa wabunge wao kwa vile linaweza kuleta msuguano mkubwa bungeni. Akihutubia jana Bunge Maalum la Katiba, Kikwete alisema jambo hilo ni jema lakini wajumbe hao wanatakiwa walitafakari kwani wale watakaoshindwa wanaweza kuleta msuguano ili mradi aliyeshinda aondolewe na wananchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani