Tuko Dodoma kula posho tu - Mjumbe
Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Alli Omari Juma amefuta matumaini ya Watanzania kuhusu kupatikana kwa Katiba mpya, badala yake akabainisha kuwa wajumbe wako Dodoma kwa ajili ya kula posho tu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Mjumbe apinga posho zaidi
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ally Keissy, amewashambulia wajumbe wenzake wanaotaka kuongezewa posho kwa madai hawawaonei huruma wananchi wengi wasio na uhakika wa mlo wa siku. Alisema ni jambo...
10 years ago
Habarileo27 Aug
‘Hakuna mjumbe Bunge Maalumu anayedai posho’
OFISI ya Bunge Maalumu la Katiba mjini Dodoma, imefafanua juu ya kuchelewa kwa posho wa wajumbe wa bunge hilo, akisema zilichelewa kutokana na sababu za kiutaratibu wa fedha na kwamba kwa sasa hakuna mjumbe anayedai posho.
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Wapo Dodoma kuchukua posho au kuandika Katiba?
11 years ago
Dewji Blog06 Aug
Pinda akitetea na Mjumbe wa Bunge la Katiba, Frederick Msigallah mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mjumbe wa Bunge la Katiba, Frederick Msigallah kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Agosti 5, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
9 years ago
StarTV18 Dec
Mkuu wa Mkoa Dodoma apiga marufuku Posho Za Vikao Kwa Watendaji
Mkuu wa mkoa wa Dodoma Luteni mstaafu Chiku Galawa amepiga marufuku ulipaji wa posho za vikao vya kazi kwa wakuu wa idara na watendaji kutokana na utendaji usioridhisha.Aidha amewataka viongozi hao kukaa mara mbili kwa wiki ofisini, siku zilizobaki zikitumika kugagua kazi zilizofanywa na walio chini yao pamoja na kusikiliza kero za wananchi.
Agizo hilo linatolewa katika kikao cha ufunguzi wa baraza la madiwani wa halmashauri ya kongwa Galawa anafikia uamuzi huo kutokana na wilaaya hiyo...
9 years ago
Raia Mwema25 Nov
Posho ya siku ni posho ya kujikimu siyo ya kujikirimia
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Posho zakwamisha Kamati za Bunge zakwama posho
11 years ago
Michuzi27 Feb
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3vWo5lODJVo/VT-QF75WAFI/AAAAAAAHT1Y/52NOelB_6nM/s72-c/IMG_3879.jpg)
TWAWEZA: JE, TUKO SALAMA?
WANANCHI watatu kati ya kumi wameshakumbana na wizi ndani ya kipindi cha mwaka jana,na asilimia 84 ya wananchi wanaamini kuwa kuna uwezekano wa kuathiriwa na makundi ya vijana waharifu kama panya road.
Hayo yameelezwa kwenye Utafiti umefanywa na Twaweza kwenye utafiti wenye jina la Je, tuko salama? maoni ya wananchi juu ya usalama na haki waliofanya mkutano katika ukumbi wa mikutano wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam leo.
Mtafiti wa twaweza...