Wapo Dodoma kuchukua posho au kuandika Katiba?
Nina wasiwasi na uwakilishi wa baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, ninajiuliza je, wataweza kutimiza jukumu walilopewa na Watanzania na Rais Jakaya Kikwete la kusimamia mchakato wa kupata Katiba Mpya au la?
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9OahfbjnnkM/VgToxzGtJrI/AAAAAAAH7Fg/n4ssZJ7o2VY/s72-c/unnamed.png)
UMOJA WA MATAIFA LEO KUANDIKA HISTORIA NYINGINE: Anjenda 2030 ambayo utekelezaji wake unaaza mwakani kuchukua nafasi ya Malengo ya Maendeleo ya Millenia( MDGs)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9OahfbjnnkM/VgToxzGtJrI/AAAAAAAH7Fg/n4ssZJ7o2VY/s640/unnamed.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hPIPvvePRgM/VgTo0YE2d0I/AAAAAAAH7Fo/ZXsiBlAtUaE/s640/unnamed.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Wanaovuruga Bunge la Katiba wapo nje ya UKAWA
INGAWA hatutaki kukubali hadharani, lakini kila mmoja anakiri moyoni mwake kwa siri kuwa mchakato wa kuandika katiba mpya umevurugika na karibu utasambaratika kabisa. Ndoto ya Watanzania kuipata katiba mpya katika...
9 years ago
Mwananchi07 Sep
UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : Mtibwa; wapo wapo tu, wanaishi kwa mazoea
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Tuko Dodoma kula posho tu - Mjumbe
11 years ago
Dewji Blog03 May
Mkapa awataka watanzania kuandika katiba itakayodumisha amani
Rais mstaafu wa awamu ya tatu,Benjamen Williamu Mkapa (mwenye fimbo), akipokewa na mkuu wa mkoa wa Singida,Dk.Parseko Kone (wa pili kulia) kwenye viwanja vya zahanati ya kijiji cha Senenemfuru tarafa ya Mtinko wilaya ya Singida.Wa kwanza kushoto ni mwenyekiti CCM wilaya ya Singida, Narumba Hanje na anayefuatia ni mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi.
Rais mstaafu Mkapa ambaye pia ni msarifu wa taasisi ya Benjamin William Mkapa HIV/AIDS foundation (BMAF),jana amekabidhi nyumba 30 za...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--Cuk5nv3Shw/U9jj77YeuGI/AAAAAAAF73Y/vLp-fPNi7P8/s72-c/zitto.jpg)
MSIMAMO WA MH. ZITTO KABWE KUHUSU MCHAKATO WA KUANDIKA KATIBA MPYA
![](http://4.bp.blogspot.com/--Cuk5nv3Shw/U9jj77YeuGI/AAAAAAAF73Y/vLp-fPNi7P8/s1600/zitto.jpg)
Kwanza, Mimi sijawahi kuwa UKAWA wala kundi lolote lile katika Bunge Maalumu la Katiba isipokuwa kundi linalotaka maridhiano. Msimamo wangu kuhusu Muungano ni Serikali Tatu Zilizoboreshwa (S3z) ili kuwa na Muungano imara usio tegemezi wala egemezi kwa...
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Posho za Bunge la Katiba kufuru
SIKU chache tu baada ya Rais Jakaya Kikwete kutangaza majina ya wajumbe walioteuliwa kuingia kwenye Bunge Maalumu la Katiba, posho za wabunge hao kwa siku ni kufuru. Habari ambazo gazeti...
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Bunge la Katiba wagomea posho
JINAMIZI la kutaka posho nono kwa watu wanapopewa majukumu ya kufanya kazi za umma limezidi kushika kasi baada ya jana wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kutaka waongezewe posho zaidi....
11 years ago
Zitto Kabwe, MB30 Jul
MSIMAMO WA NDUGU ZITTO KABWE KUHUSU MCHAKATO WA KUANDIKA KATIBA MPYA
MSIMAMO WA NDUGU ZITTO KABWE KUHUSU MCHAKATO WA KUANDIKA KATIBA MPYA
Jana tarehe 29 Julai, 2014 nimefanya mahojiano katika kipindi cha PowerBreakFast kinachorushwa na Clouds FM. Baadhi ya vyombo vya habari vimeandika mahojiano yale. Napenda nitoe ufafanuzi kidogo kuhusu msimamo wangu kuhusu mchakato wa Katiba.
Kwanza, Mimi sijawahi kuwa UKAWA wala kundi lolote lile katika Bunge Maalumu la Katiba isipokuwa kundi linalotaka maridhiano. Msimamo wangu kuhusu Muungano ni Serikali Tatu...