Mkapa awataka watanzania kuandika katiba itakayodumisha amani
Rais mstaafu wa awamu ya tatu,Benjamen Williamu Mkapa (mwenye fimbo), akipokewa na mkuu wa mkoa wa Singida,Dk.Parseko Kone (wa pili kulia) kwenye viwanja vya zahanati ya kijiji cha Senenemfuru tarafa ya Mtinko wilaya ya Singida.Wa kwanza kushoto ni mwenyekiti CCM wilaya ya Singida, Narumba Hanje na anayefuatia ni mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi.
Rais mstaafu Mkapa ambaye pia ni msarifu wa taasisi ya Benjamin William Mkapa HIV/AIDS foundation (BMAF),jana amekabidhi nyumba 30 za...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV21 Sep
Magufuli awataka watanzania kudumisha amani
Katika harakati za kufanya kampeni katika mikoa tofauti nchini Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Dokta John Pombe Magufuli amefanya kampeni katika jimbo la Chato ambalo amelitumikia kwa miaka ishirini kama Mbunge.
Akihutubia wananchi waliojitokeza kumlaki na kusikiliza vipaumbele vilivyoainishwa katika ilani ya Chama cha Mapinduzi, Dokta Magufuli amezungumzia maendeleo yaliyofikiwa na jimbo hilo chini ya uwakilishi wake kuwa ni kielelezo cha utendaji na ufanisi alionao katika...
5 years ago
CCM BlogMANGULA AWATAKA WATANZANIA KUTOCHEZEA AMANI
Mangula ameyasema haya leo katika ukumbi wa maktaba Manyoni wakati alipohitimisha ziara yake ya kikazi ya siku saba kwenye Mkoa wa Singida ambapo amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi chache duniani...
11 years ago
Michuzi05 May
10 years ago
Dewji Blog15 Sep
Simba Chawene awataka Watanzania kuachwa kuingia barabarani kufanya maandamano ya kupinga mchakato wa Katiba
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Simba Chawene akichangia mada bungeni mjini Dodoma. (Picha na Benedict Liwenga, MAELEZO-Dodoma).
Na Benedict Liwenga, MAELEZO-Dodoma.
MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. George Simba Chawene amesikitishwa na kauli zilizotolewa na baadhi ya Wajumbe walioko nje ya bunge hilo kuhusiana na uhalali wa bunge hilo lililoko Kisheria.
Kauli hiyo ameitoa leo wakati akichangia mada katika mjadala ndani ya bunge hilo huku akisisitiza kuwa huo ni upotoshwaji...
10 years ago
MichuziSimba Chawene awataka Watanzania kuacha kuingia barabarani kufanya maandamano ya kupinga mchakato wa Katiba
MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. George Simba Chawene amesikitishwa na kauli zilizotolewa na baadhi ya Wajumbe walioko nje ya bunge hilo kuhusiana na uhalali wa bunge hilo linaloendelea Kisheria.
Kauli hiyo ameitoa leo wakati akichangia mada katika mjadala ndani ya bunge hilo huku akisisitiza kuwa huo ni upotoshwaji mkubwa na watu hao wanapaswa kuangaliwa kuhusu uzalendo wao.
Mhe. Chawene ameeleza kuwa inasikitisha zaidi hasa pale shutuma...
11 years ago
Tanzania Daima26 Mar
Watanzania washauriwa kusoma, kuandika vitabu
WATANZANIA wameshauriwa kujenga utamaduni wa kusoma vitabu ili kupata maarifa ya kuwasaidia katika kufanya shughuli mbalimbali za maendeleo. Wito huo ulitolewa na mwandishi wa vitabu, Evodius Katare, ambaye pia ni...
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Watanzania milioni 14 hawajui kusoma, kuandika?
10 years ago
Dewji Blog06 Jan
10 years ago
GPLMKAPA AWATAKA WAKANDARASI NCHINI KUFANYA KAZI KWA KUZINGATIA WELEDI