MANGULA AWATAKA WATANZANIA KUTOCHEZEA AMANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-xE5KKZUMVJk/XlTJOnM3X9I/AAAAAAACzX8/CI-yUGhpBkkI2GxoqdLDp0rKvo5HPkVoQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Na John MapepeleMakamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Philipo Japhet Mangula amewataka watanzania kutochezea amani na kuyumbishwa na wanasiasia na badala yake waione amani walio nayo kama mtaji mkubwa wa kuwaletea maendeleo ya kweli kwa kizazi cha sasa na baadaye.
Mangula ameyasema haya leo katika ukumbi wa maktaba Manyoni wakati alipohitimisha ziara yake ya kikazi ya siku saba kwenye Mkoa wa Singida ambapo amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi chache duniani...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV21 Sep
Magufuli awataka watanzania kudumisha amani
Katika harakati za kufanya kampeni katika mikoa tofauti nchini Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Dokta John Pombe Magufuli amefanya kampeni katika jimbo la Chato ambalo amelitumikia kwa miaka ishirini kama Mbunge.
Akihutubia wananchi waliojitokeza kumlaki na kusikiliza vipaumbele vilivyoainishwa katika ilani ya Chama cha Mapinduzi, Dokta Magufuli amezungumzia maendeleo yaliyofikiwa na jimbo hilo chini ya uwakilishi wake kuwa ni kielelezo cha utendaji na ufanisi alionao katika...
11 years ago
Dewji Blog03 May
Mkapa awataka watanzania kuandika katiba itakayodumisha amani
Rais mstaafu wa awamu ya tatu,Benjamen Williamu Mkapa (mwenye fimbo), akipokewa na mkuu wa mkoa wa Singida,Dk.Parseko Kone (wa pili kulia) kwenye viwanja vya zahanati ya kijiji cha Senenemfuru tarafa ya Mtinko wilaya ya Singida.Wa kwanza kushoto ni mwenyekiti CCM wilaya ya Singida, Narumba Hanje na anayefuatia ni mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi.
Rais mstaafu Mkapa ambaye pia ni msarifu wa taasisi ya Benjamin William Mkapa HIV/AIDS foundation (BMAF),jana amekabidhi nyumba 30 za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WIyIua6im-E/XlS37tMVpYI/AAAAAAAAf1g/F4OgUfjxMxIUICNZm2vv0DXovI8lEWjTwCLcBGAsYHQ/s72-c/a-1.jpg)
MANGULA ALIA NA AMANI YA TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-WIyIua6im-E/XlS37tMVpYI/AAAAAAAAf1g/F4OgUfjxMxIUICNZm2vv0DXovI8lEWjTwCLcBGAsYHQ/s640/a-1.jpg)
MbungewaJimbo la Manyoni Mashariki Mhe. Danieli Mtuka aliyenyanyua mikono akitoa ufafanuzi kwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Philipo Japhet Mangula (mwenyemiwani) wakati alipotembelea kwenye mradi mkubwa washamba la pamoja la Korosho lenye zaidi ya ekari 12000 eneo la Masagati Manyoni Mkoani Singida leo kulia kwa Mangula ni Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Rahabu Jackson Mwagisa (pichana John Mapepele)
![](https://1.bp.blogspot.com/-acGqKDWrkiA/XlS4GpKawVI/AAAAAAAAf1k/I4CFZINAnqwdCBOUUq1F6GZVQazQ7UTOwCLcBGAsYHQ/s640/b.jpg)
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lfASdeYLW4dh6rwIpda91DvGLHF7BNxQWIJFFMvSabwuSSzGOmqSBhQolOQCXr6DIc6-BYEBvv*AO6loXZmFf3*SoiUbBst9/philip_mangula.jpg?width=600)
MANGULA AWATAKA VIONGOZI WA MATAWI KUSIMAMIA IPASAVYO KANUNI ZA UCHAGUZI, UONGOZI NA MAADILI
10 years ago
Dewji Blog06 Jan
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QU0zdsqrHtY/VSacN4_K5FI/AAAAAAAHP38/smj7f3kpomU/s72-c/unnamed%2B(72).jpg)
Mangula awataka viongozi wa dini wasiwapotoshe wananchi kuhusiana na kuwapo kwa masuala ya dini katika katiba pendekezwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-QU0zdsqrHtY/VSacN4_K5FI/AAAAAAAHP38/smj7f3kpomU/s1600/unnamed%2B(72).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ypr5eRsgCsY/VSacSUg99UI/AAAAAAAHP4E/fhX5DK68_QQ/s1600/unnamed%2B(71).jpg)
Na Furaha Eliab, Njombe
MAKAMU mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) - Bara, Philip Mangula amesema kuwa viongozi...
11 years ago
MichuziMAKAMU WA CCM BARA MH.PHILIP MANGULA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO BEIJING CHINA
baada ya kikao cha kujadili mambo kadhaa ya...