Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MANGULA ALIA NA AMANI YA TANZANIA


MbungewaJimbo la Manyoni Mashariki Mhe. Danieli Mtuka aliyenyanyua mikono akitoa ufafanuzi kwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Philipo Japhet Mangula (mwenyemiwani) wakati alipotembelea kwenye mradi mkubwa washamba la pamoja la Korosho lenye zaidi ya ekari 12000 eneo la Masagati Manyoni Mkoani Singida leo kulia kwa Mangula ni Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Rahabu Jackson Mwagisa (pichana John Mapepele)

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

MANGULA AWATAKA WATANZANIA KUTOCHEZEA AMANI

  Na John MapepeleMakamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Philipo Japhet Mangula  amewataka watanzania kutochezea  amani  na  kuyumbishwa na wanasiasia  na badala yake  waione amani walio nayo kama mtaji mkubwa wa kuwaletea maendeleo ya kweli kwa kizazi cha sasa na baadaye.
Mangula ameyasema haya leo katika ukumbi wa maktaba Manyoni wakati alipohitimisha ziara yake ya kikazi ya siku saba kwenye Mkoa wa Singida ambapo amesema Tanzania  ni miongoni mwa nchi chache duniani...

 

10 years ago

Michuzi

TUTASHIRIKIANA NA WAPENDA AMANI KUISAIDIA DRC KUWA NA AMANI - TANZANIA

Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Ramadhan Mwinyi akizungumza wakati wa Mkutano wa Kamati ya Nne ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa iliyokuwa ikijadili ajenda kuhusu tathmini ya jumla ya Operesheni za Ulinzi wa Amani za Umoja wa Mataifa. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni kati ya nchi zinazochangia wanajeshi wake katika operesheni hizo za ulinzi wa amani. Sehumu ya wajumbe wa Kamati ya Nne ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, wakifuatilia...

 

9 years ago

Raia Mwema

Tufanye yote, wimbo wetu uwe amani, amani, amani

Wiki hii Raia Mwema lilifanya mahojiano na mwanasheria mkuu wa serikali mstaafu, Jaji Mark Bomani

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Mwananchi

Amani ya Tanzania

Wanangu ketini chini, niwape yalo moyoni, Ninayo yalo thamani, niyanene hadharani, Tunu yetu mikononi, kamwe tusitupe chini, Amani ya Tanzania, ni tunu kwetu Mwenyezi.

 

10 years ago

Mwananchi

Utamaduni wa uhuru na amani ya Tanzania

Maendeleo ni uhuru na uhuru huleta amani. Umaskini ni utumwa na utumwa huleta machafuko pale watumwa wanaposema basi, imetosha. Tunaishi ili kuleta maendeleo, kudumisha amani na kulea utamaduni wa amani kwa kugusa maisha ya wengi katika msingi chanya.

 

11 years ago

GPL

9 years ago

Michuzi

MAKALA MAALUM KUHUSU AMANI TANZANIA

 Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Nuru inapoiangazia dunia, huwaangazia viumbe vyote vilivyo hai na visivyo na uhai, viumbe vyenye uhai, hao hufurahia nuru hiyo kwa kuruka ruka na kucheza kufurahia nuru hiyo.
Kila ifikapo asubuhi na mapema, utasikia sauti na mili­o ya ndege wa angani, wanyama wa kufuga na waishio mwituni, milio na sauti za viumbe hao wakati mwingine kuashiria kuwa kumekucha ili waendelee kufurahia nuru inayowanaagazia kwa manufaa ya maisha yao. 
Wanadamu nao wakiwa kama viumbe hai...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani