Amani ya Tanzania
Wanangu ketini chini, niwape yalo moyoni, Ninayo yalo thamani, niyanene hadharani, Tunu yetu mikononi, kamwe tusitupe chini, Amani ya Tanzania, ni tunu kwetu Mwenyezi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EwbJBfAoCls/VFNUiF3tWyI/AAAAAAAGuWs/MResu-FXFgQ/s72-c/unnamed%2B(65).jpg)
TUTASHIRIKIANA NA WAPENDA AMANI KUISAIDIA DRC KUWA NA AMANI - TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-EwbJBfAoCls/VFNUiF3tWyI/AAAAAAAGuWs/MResu-FXFgQ/s1600/unnamed%2B(65).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Mt8rAKimY7o/VFNUicfeKnI/AAAAAAAGuWo/HCPKHFhAzJg/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Tufanye yote, wimbo wetu uwe amani, amani, amani
Wiki hii Raia Mwema lilifanya mahojiano na mwanasheria mkuu wa serikali mstaafu, Jaji Mark Bomani
Mwandishi Wetu
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/N0Xct7ZPYQ0/default.jpg)
Simu TV: Mahujaji wa Tanzania wafanya Ibada kuombea amani Tanzania wakati na baada ya uchaguzi mkuu
Kwa habari zaidi BOFYA HAPA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WIyIua6im-E/XlS37tMVpYI/AAAAAAAAf1g/F4OgUfjxMxIUICNZm2vv0DXovI8lEWjTwCLcBGAsYHQ/s72-c/a-1.jpg)
MANGULA ALIA NA AMANI YA TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-WIyIua6im-E/XlS37tMVpYI/AAAAAAAAf1g/F4OgUfjxMxIUICNZm2vv0DXovI8lEWjTwCLcBGAsYHQ/s640/a-1.jpg)
MbungewaJimbo la Manyoni Mashariki Mhe. Danieli Mtuka aliyenyanyua mikono akitoa ufafanuzi kwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Philipo Japhet Mangula (mwenyemiwani) wakati alipotembelea kwenye mradi mkubwa washamba la pamoja la Korosho lenye zaidi ya ekari 12000 eneo la Masagati Manyoni Mkoani Singida leo kulia kwa Mangula ni Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Rahabu Jackson Mwagisa (pichana John Mapepele)
![](https://1.bp.blogspot.com/-acGqKDWrkiA/XlS4GpKawVI/AAAAAAAAf1k/I4CFZINAnqwdCBOUUq1F6GZVQazQ7UTOwCLcBGAsYHQ/s640/b.jpg)
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara,...
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-OC_zMKxFLZI/UgPzBV67bhI/AAAAAAAACZg/3SugSuM0bmM/s1600/MKCT_AP16.jpg)
10 years ago
Mwananchi21 Feb
Utamaduni wa uhuru na amani ya Tanzania
Maendeleo ni uhuru na uhuru huleta amani. Umaskini ni utumwa na utumwa huleta machafuko pale watumwa wanaposema basi, imetosha. Tunaishi ili kuleta maendeleo, kudumisha amani na kulea utamaduni wa amani kwa kugusa maisha ya wengi katika msingi chanya.
11 years ago
Habarileo08 Aug
Tanzania kuunda Jeshi la Amani Afrika
JESHI la Wananchi Tanzania (JWTZ) limeendelea kung’ara kimataifa, ambapo jana jeshi hilo lilitamkwa kuwa miongoni mwa majeshi ya nchi za Afrika, yatakayounda Jeshi la Kulinda Amani Afrika.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VNpv6nSys18/VkhXLibYVAI/AAAAAAAIF6c/Xj0rYU1QAkc/s72-c/download.png)
MAKALA MAALUM KUHUSU AMANI TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-VNpv6nSys18/VkhXLibYVAI/AAAAAAAIF6c/Xj0rYU1QAkc/s320/download.png)
Nuru inapoiangazia dunia, huwaangazia viumbe vyote vilivyo hai na visivyo na uhai, viumbe vyenye uhai, hao hufurahia nuru hiyo kwa kuruka ruka na kucheza kufurahia nuru hiyo.
Kila ifikapo asubuhi na mapema, utasikia sauti na milio ya ndege wa angani, wanyama wa kufuga na waishio mwituni, milio na sauti za viumbe hao wakati mwingine kuashiria kuwa kumekucha ili waendelee kufurahia nuru inayowanaagazia kwa manufaa ya maisha yao.
Wanadamu nao wakiwa kama viumbe hai...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania