Huduma za uzazi Muhimbili hoi
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) inakabiliwa na uhaba wa wafanyakazi, huduma mbovu za rufaa na upungufu wa vitendea kazi, hali inayochangia kuwepo kwa huduma hafifu katika masuala ya uzazi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
TUKIO LA MOTO MBAGALA: WATATU WAFARIKI, SITA HOI MUHIMBILI
11 years ago
Mwananchi06 May
Watakiwa kuacha huduma za uzazi
11 years ago
Habarileo23 May
Huduma za uzazi wa mpango zatengewa bil.3/-
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imetenga kiasi cha Sh bilioni 3 katika bajeti ya fedha ya mwaka 2014/15 kwa ajili ya huduma za uzazi wa mpango.
9 years ago
StarTV03 Dec
Huduma zaimarika hospitali ya Taifa Muhimbili
Hali ya utoaji wa huduma ya upimaji kwa mionzi ya CT Scan na MRI kwenye hospitali ya Taifa ya Muhimbili hivi sasa imeimarika baada ya uongozi wa kitengo hicho kuthibitisha kuwa mashine za vipimo zimeendelea kufanya kazi bila ya tatizo lolote.
Hatua hii inafikiwa baada ya Rais Dr. John Magufuli kuagiza uongozi wa hospitali hiyo kuhakikisha kuwa vipimo hivyo ambavyo vilikuwa vibovu kwa muda mrefu vinafanyiwa marekebisho na kuanza kazi mara moja.
Siku chache tu zimepita tangu mashine ya mionzi...
9 years ago
Mwananchi16 Nov
Muhimbili wasitisha tena huduma za MRI
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Wagonjwa Muhimbili wasotea huduma ya CT -Scan
Hadia Khamis na Johanes Respichius (RCT), Dar es Salaam
BAADHI ya wagonjwa wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), wamelalamikia hatua ya uongozi wa hospitali hiyo kushindwa kuchukua hatua za dharura za kutoa huduma za CT-Scan, ambayo imeharibika kwa kipindi cha miezi miwili sasa.
Wakizungumza na MTANZANIA kwa nyakati tofauti, wagonjwa hao walisema wamekuwa wakiteseka kwa kipindi cha miezi miwili sasa bila kupata huduma hiyo.
Mmoja wa wagonjwa hao aliyejitambulisha kwa jina la Rashid Omari,...
11 years ago
GPL
WATEJA 225,000 WA VODACOM WAJIUNGA NA HUDUMA YA UJUMBE MFUPI YA UZAZI SALAMA
11 years ago
Michuzi
MAFUNZO YA AWALI KWA WATUMISHI WA HUDUMA ZA MKOBA WA UZAZI YAMALIZIKA JIJINI DAR


9 years ago
StarTV17 Nov
Huduma Muhimbili yasimama tena, Wananchi washangaa
Mashine ya MRI iliyoko katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, iliyoanza kazi siku chache zilizopita imeharibika na kushindwa kufanya kazi tena na kusababisha kusimama kwa huduma za vipimo kwa wagonjwa wanaopaswa kupimwa na mashine hiyo.
Mashine hiyo ilianza kufanya kazi Baada ya tamko la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta John Magufuli alilolitoa siku chache baada ya kuapishwa na kuutaka uongozi wa Hospitali hiyo uhakikishe mashine za CT-SCAN na MRI zinafanya kazi jambo ambalo...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10