Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Burundi itaahirisha uchaguzi?

Kumekuwa na maswali mengi kuhusu ukimya wa Rais Pierre Nkurunziza kuhusu kutekeleza ushauri wa jumuia ya kimataifa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Burundi 2020: Vurugu na mauaji yakumba kampeini za uchaguzi Burundi

Polisi nchini Burundi wamesema kuwa wamewakamata watu wapatao 64 kutoka chama kikuu cha siasa cha CNL, kumekuwa na ghasia pamoja na mauaji dhidi ya wanachama wa chama kikuu katika kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu wa rais tarehe 20 Mei.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwa nini Rwanda na Burundi zimekuwa maadui wakubwa?

Wakati, Burundi ikijiandaa kwa uchaguzi mkuu wiki ijayo, uhusiano kati ya nchi hiyo na jirani yake wa karibu Rwanda ukiwa umevunjika

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwanini Burundi imewatimua maafisa wa WHO?

Ujumbe kutoka kwa wizara ya mambo ya nje nchini Burundi, umetumwa mtandaoni ukiwataka wawakilishi wa Shirika la Afya Duniani kuondoka nchini humo ndani ya saa 48.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Burundi: Agathon Rwasa aapa kupinga matokeo ya uchaguzi wa Urais mahakamani

Bwana Rwasa amesema hakubaliani kabisa na matokeo aliyoyapata, akidai uchaguzi ulitawaliwa na vitendo vya wizi wa kura.

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi yatangaza tarehe za uchaguzi

Tume ya taifa nchini Burundi imetangaza ratiba ya tarehe ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa Rais na wabunge.

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi:Uchaguzi wa urais umeanza

Baada ya ghasia na maandamano ya miezi kadhaa, hatimaye raia nchini Burundi sasa wamefika katika vituo vya kupiga kura ili kumchagua rais wao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi yafaa kuahirisha uchaguzi

Viongozi wa Afrika Mashariki waishauri Burundi iahirishe uchaguzi kwa majuma kadha

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi yaanza mikakati ya uchaguzi

Chama tawala nchini Burundi kimeanza mchakato wa uteuzi wa mwanachama atakayewania nafasi ya uraisi katika uchaguzi mkuu ujao

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yazungumzia uchaguzi Burundi

Marekani imesema uchaguzi wa Rais unaofanyika nchini Burundi umekosa uaminifu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani