Burundi yafaa kuahirisha uchaguzi
Viongozi wa Afrika Mashariki waishauri Burundi iahirishe uchaguzi kwa majuma kadha
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo526 Aug
Uchaguzi wamfanya Cpwaa kuahirisha kutoa kazi mpya
Rapper Cpwaa amesema upepo wa uchaguzi umemfanya aendelee kuwa kimya kwenye muziki mpaka utakapopita ili kuachia ngoma mpya. Cpwaa ameiambia Bongo5 kuwa alikuwa amepanga kuachia ngoma mpya mwezi huu lakini ameamua kuahirisha kutokana na hali uchaguzi. “Kwa sababu sasa hivi masikio na akili ya kila mtu ipo kwenye uchaguzi, sasa ukitoa ngoma haitaenda popote,” amesema. […]
5 years ago
BBCSwahili06 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Vurugu na mauaji yakumba kampeini za uchaguzi Burundi
Polisi nchini Burundi wamesema kuwa wamewakamata watu wapatao 64 kutoka chama kikuu cha siasa cha CNL, kumekuwa na ghasia pamoja na mauaji dhidi ya wanachama wa chama kikuu katika kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu wa rais tarehe 20 Mei.
5 years ago
BBCSwahili15 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwa nini Rwanda na Burundi zimekuwa maadui wakubwa?
Wakati, Burundi ikijiandaa kwa uchaguzi mkuu wiki ijayo, uhusiano kati ya nchi hiyo na jirani yake wa karibu Rwanda ukiwa umevunjika
5 years ago
BBCSwahili14 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwanini Burundi imewatimua maafisa wa WHO?
Ujumbe kutoka kwa wizara ya mambo ya nje nchini Burundi, umetumwa mtandaoni ukiwataka wawakilishi wa Shirika la Afya Duniani kuondoka nchini humo ndani ya saa 48.
5 years ago
BBCSwahili26 May
Uchaguzi Burundi: Agathon Rwasa aapa kupinga matokeo ya uchaguzi wa Urais mahakamani
Bwana Rwasa amesema hakubaliani kabisa na matokeo aliyoyapata, akidai uchaguzi ulitawaliwa na vitendo vya wizi wa kura.
9 years ago
Mwananchi20 Dec
Yafaa kutafakari kilio cha TLS kwa Ma-DC
Juzi, Chama cha Wanasheria (TLS) kilitoa tamko la kulaani vitendo vinavyozidi kuongezeka vya wakuu wa wilaya dhidi ya watumishi wa Serikali au wananchi wa maeneo yaliyo chini yao.
9 years ago
BBCSwahili05 Sep
Uchina yafaa kueleza sera zake za uchumi
Katika mkutano wa G20 Uchina yaambiwa iwe wazi kuhusu sera zake za uchumi ili kuzuwia misukosuko katika masoko ya fedha dunaini
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/po*b5pjX*ekvuhMNJ1lgUV0*TBFz0O91NBkMsBH1ACNqefLRWDrbTI7uwCo39kvc3ujPn950B-HaMQqwAFIadFZ3-OB3xFfp/MAHABANIUE.jpg)
UNAPOKUWA FARAGHA NA MWENZA WAKO, NI MAZUNGUZO GANI YAFAA -2
Tunaendelea na mada yetu tuliyoianza wiki iliyopita ya mazungumzo yanayofaa unapokuwa faragha na mwenza wako.Nianze kwa kuwashukuru nyote mliochangia mada hiyo kwa njia ya ujumbe mfupi kwa lengo la kupanuana mawazo. Siwezi kuwataja kwa majina lakini nauheshimu mchango wa kila mmoja katika kuwekana sawa katika ulimwengu wa mapenzi ambao wengi wetu tunaishi ndani yake.Tunaendelea kuchambua mazungumzo yanayofaa ukiwa na mpenzi...
10 years ago
BBCSwahili20 May
Burundi itaahirisha uchaguzi?
Kumekuwa na maswali mengi kuhusu ukimya wa Rais Pierre Nkurunziza kuhusu kutekeleza ushauri wa jumuia ya kimataifa
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania