Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yafaa kutafakari kilio cha TLS kwa Ma-DC

Juzi, Chama cha Wanasheria (TLS) kilitoa tamko la kulaani vitendo vinavyozidi kuongezeka vya wakuu wa wilaya dhidi ya watumishi wa Serikali au wananchi wa maeneo yaliyo chini yao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Barabara ya Ndundu-Somanga yakamilika kwa kiwango cha Lami kilio cha watu wa mikoa ya kusini kwisha

Sehemu ya barabara ya Ndundu –Somanga(KM 60) iliyokamilika kwa kiwango cha lami.Wanahabari wakimhoji Dereva wa basi la abiria kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam kuhusiana na kukamilika kwa sehemu ya barabara hiyo.Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Musa Iyombe akikagua sehemu ya barabara ya Ndundu –Somanga(KM 60) iliyokamilika kwa kiwango cha lami.
Ukaguzi wa barabara hiyo ukiendelea kama inavyoonekana.Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Musa Iyombe akiteremka kukagua tuta la barabara ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Kilio cha wanaharakati kwa Bunge la Katiba

Mtandao wa wanaotetea Haki za Watetezi wa Haki za Binadamu nchini, (THRDc) umekutana na wanahabari mjini Dodoma na baadaye wajunge wa Bunge la Katiba kuelimisha na kubadilishana uzoefu juu ya haki za kundi hilo la jamii kwenye mchakato wa mabadiliko ya Katiba.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yasikia kilio cha ajira kwa vijana

Vijana zaidi ya 1,000 kutoka katika vikundi 36 katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wanatarajiwa kupewa maeneo ya kilimo na Serikali ili kuwainua kiuchumi.

 

10 years ago

Mwananchi

Kilio hiki cha Nida ni fedheha kwa Serikali

Kilio cha sasa cha Wakala wa Vitambulisho vya Taifa (Nida) kwamba hawana fedha wala wafanyakazi wa kutosha, siyo kipya kwenye masikio ya Watanzania. 

 

10 years ago

Mwananchi

Kilio cha sekta binafsi ni ukosefu wa mikopo kwa ajili ya biashara

Watanzania wangependa kushiriki katika miradi mikubwa ya biashara lakini kikwazo kikubwa kimekuwa upatikanaji wa mitaji.

 

11 years ago

Mwananchi

Tuanze 2014 kwa kutafakari mwelekeo wa Taifa letu

Mwaka 2013 ulimalizika jana tukishuhudia mambo mengi hasa katika ulingo wa siasa. Nimejaribu kueleza baadhi ya mambo yaliyotokea katika makala zangu zilizopita.

 

10 years ago

Michuzi

Kilio cha Mdau juu ya ushuru unaolipishwa katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo

Salam kwako Ankal na timu nzima ya Globu ya Jamii,
Tunawapongeza sana kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya ya kutujuza mambo mbali mbali yanayoendelea hapa nchini na nje ya mipaka ya nchi yetu,tunawapa BIGI APU sana kwa kweli.
Kupitia libeneke la Globu ya Jamii,naomba nifikishie kero yangu hii kwa wahusika wa Halmashauri ya Jiji,maana leo nilifika pale kwenye stendi kuu ya mabasi (Ubungo Bus Terminal) na kukutana na  utaratibu wa kulipisha kiasi cha sh. 300 ikiwa ni gharama ya maegesho ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kilio cha Albino Tanzania

Kisiwa cha Ukerewa ni hifadhi kwa Albino ambao maisha yao yamo hatarin kutokana na imani potovu kwamba viungo vya Albino vinaleta utajiri

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani