Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kilio cha wanaharakati kwa Bunge la Katiba

Mtandao wa wanaotetea Haki za Watetezi wa Haki za Binadamu nchini, (THRDc) umekutana na wanahabari mjini Dodoma na baadaye wajunge wa Bunge la Katiba kuelimisha na kubadilishana uzoefu juu ya haki za kundi hilo la jamii kwenye mchakato wa mabadiliko ya Katiba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaharakati, walimu watoa somo Bunge la Katiba

WANAHARAKATI mbalimbali nchini wamewataka wajumbe wa Bunge la Katiba kuwa makini na kutunga kanuni ambazo hazitawanyima uhuru wa kupaza sauti makundi yaliyoko pembezoni. Wito huo ulitolewa jijini Dar es Salaam...

 

10 years ago

Vijimambo

Barabara ya Ndundu-Somanga yakamilika kwa kiwango cha Lami kilio cha watu wa mikoa ya kusini kwisha

Sehemu ya barabara ya Ndundu –Somanga(KM 60) iliyokamilika kwa kiwango cha lami.Wanahabari wakimhoji Dereva wa basi la abiria kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam kuhusiana na kukamilika kwa sehemu ya barabara hiyo.Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Musa Iyombe akikagua sehemu ya barabara ya Ndundu –Somanga(KM 60) iliyokamilika kwa kiwango cha lami.
Ukaguzi wa barabara hiyo ukiendelea kama inavyoonekana.Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Eng. Musa Iyombe akiteremka kukagua tuta la barabara ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Yafaa kutafakari kilio cha TLS kwa Ma-DC

Juzi, Chama cha Wanasheria (TLS) kilitoa tamko la kulaani vitendo vinavyozidi kuongezeka vya wakuu wa wilaya dhidi ya watumishi wa Serikali au wananchi wa maeneo yaliyo chini yao.

 

10 years ago

Mwananchi

Kilio hiki cha Nida ni fedheha kwa Serikali

Kilio cha sasa cha Wakala wa Vitambulisho vya Taifa (Nida) kwamba hawana fedha wala wafanyakazi wa kutosha, siyo kipya kwenye masikio ya Watanzania. 

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yasikia kilio cha ajira kwa vijana

Vijana zaidi ya 1,000 kutoka katika vikundi 36 katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wanatarajiwa kupewa maeneo ya kilimo na Serikali ili kuwainua kiuchumi.

 

10 years ago

Mwananchi

Kilio cha sekta binafsi ni ukosefu wa mikopo kwa ajili ya biashara

Watanzania wangependa kushiriki katika miradi mikubwa ya biashara lakini kikwazo kikubwa kimekuwa upatikanaji wa mitaji.

 

10 years ago

GPL

MH. CHENGE AWASILISHA RASIMU YA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA

Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi ya Bunge Maalum la Katiba Mhe. Andrew Chenge (kulia) akimkabidhi Mwenyekiti wa Bunge hilo Mhe. Samuel Sitta (kushoto) Rasimu ya Katiba Inayopendekezwa wakati wa kikao cha Kamati ya Uongozi cha Bunge hilo. Kamati ya Uandishi imemaliza kazi ya kuandaa Rasimu hiyo na inatarajiwa kusomwa Bungeni siku ya kesho. Makabidhiano yakiendelea.… ...

 

11 years ago

Michuzi

SHEIKH OMARY AMPONGEZA JK KWA MCHAKATO WA KATIBA AONYA WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA

Mmoja  kati ya  waumini  wa dini ya Kiislam  wa madhehebu ya Answaar Sunna iliyofanyika katika  uwanja  wa Mwembetogwa akitoka kuswali  Swala ys Idd leo katika  uwanja  wa Mwembetogwa  mjini  Iringa Sheikh Dhulkifilo Omari  kulia akiwa na baadhi ya  waumini mara baada ya  ibada  ya Idd el Fitr   leo katika  uwanja  wa Mwembetogwa  mjini  Iringa..............................................................................Na matukiodaimablog
Sheikh wa  msikiti  wa  Hidaya katika manispaa ya ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani