Burundi:Uchaguzi wa urais umeanza
Baada ya ghasia na maandamano ya miezi kadhaa, hatimaye raia nchini Burundi sasa wamefika katika vituo vya kupiga kura ili kumchagua rais wao.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili26 May
Uchaguzi Burundi: Agathon Rwasa aapa kupinga matokeo ya uchaguzi wa Urais mahakamani
10 years ago
BBCSwahili21 Jul
Uchaguzi wa urais nchini Burundi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FyALJDbAFis/XswPi0RdzvI/AAAAAAALrfE/coqd3YIPn-Ed7euQ0l60HVQ0R8Si292IwCLcBGAsYHQ/s72-c/_112460099_067a3e47-fc1e-44c4-a3d0-f5b11828fdf8.jpg)
Uchaguzi wa Burundi: Mgombea wa chama tawala Everiste Ndayishimye ashinda urais
![](https://1.bp.blogspot.com/-FyALJDbAFis/XswPi0RdzvI/AAAAAAALrfE/coqd3YIPn-Ed7euQ0l60HVQ0R8Si292IwCLcBGAsYHQ/s640/_112460099_067a3e47-fc1e-44c4-a3d0-f5b11828fdf8.jpg)
Jenerali mstaafu ameshinda kwa 68.72% ya kura zilizopigwa, wakati Agathon Rwasa, kutoka chama kikuu cha upinzani akipata 24.19% ,matokeo yaliyotangazwa na tume hiyo hii leo.
Kwa kuwa Ndayishimiye amepata zaidi ya 50% ya kura, ameepuka kufanyika kwa duru ya pili ya uchaguzi.
Haya ni matokeo ya awali ya uchaguzi , ambapo matokeo ya mwisho...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Oct
Zanzibar Elections: uchaguzi umeanza vyema, licha ya…
Alhamdullillah, tumeamka salama leo ikiwa siku ya Jumapili tarehe 25 October 2015, siku ya uchaguzi mkuu wa Zanzibar na Tanzania. Leo ni siku ambayo Wazanzibar na Watanzania wameamka na moyo wa matumaini ya kufany mabadiliko ya […]
The post Zanzibar Elections: uchaguzi umeanza vyema, licha ya… appeared first on Mzalendo.net.
5 years ago
BBCSwahili06 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Vurugu na mauaji yakumba kampeini za uchaguzi Burundi
5 years ago
BBCSwahili15 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwa nini Rwanda na Burundi zimekuwa maadui wakubwa?
5 years ago
BBCSwahili14 May
Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwanini Burundi imewatimua maafisa wa WHO?
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-IsjuYXA4MIg/Vfidy64cnfI/AAAAAAAD7oU/IhQ-etKR-KI/s72-c/Trump.jpg)
MJUE MGOMBEA WA KITI CHA URAIS WA MAREKANI NA NINI TUNACHOWEZA KUJIFUNZA KATIKA UCHAGUZI WA URAIS NCHINI TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-IsjuYXA4MIg/Vfidy64cnfI/AAAAAAAD7oU/IhQ-etKR-KI/s640/Trump.jpg)
Na Mwandishi Maalum
Wakati mdahalo wa pili wa wagombea wa chama cha Republican unasubiriwa kwa hamu usiku wa Jumatano tarehe 16 Septemba, ni vyema kuandika machache kuhusu mgombea Donald Trump ambaye anaendelea kuongoza kura za maoni katika kundi kubwa la wagombea wa chama cha Republican kwenye kinyang’anyiro cha kuwania kuingia Ikulu ya Marekani mwishoni mwa mwaka kesho. Katika kuchambua harakati za Bwana Trump za kuusaka uongozi wa juu wa taifa la Marekani pia tumejaribu...
9 years ago
VijimamboMgombea Urais wa Chama cha ACT Mhe Khamis Iddi Lila Arejesha fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar Tume ya Uchaguzi ZEC.