Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


52 wauawa katika mashambulizi Nigeria

Afisa mmoja wa usalama amesema waliofanya mashambulizi walitega mabomu katika soko moja katika kijiji cha Kawuri siku ya Jumapili.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

30 wauawa kwenye mashambulizi Nigeria

Watu 30 wameuawa katika kijiji kimoja eneo la kati mwa Nigeria,jimbo la Plateu katika mzozo kuhusu ardhi na mifugo

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 18 wauawa kwa mashambulizi Nigeria

Watu 18 wameuawa baada ya kushambuliwa na watu wanaoaminika kuwa wanamgambo wa Boko Haram mjini Shaffa

 

11 years ago

BBCSwahili

3 wauawa katika mashambulizi Beirut

Maafisa wa usalama wanasema washambulizi wawili wa kujitoa muhanga wamejilipua karibu na ubalozi wa Iran na kuwauwa watu 3 wengine wakijeruhiwa

 

11 years ago

Habarileo

Watu 29 wauawa katika mashambulizi Kenya

WATU wenye silaha wameua watu 29 katika mashambulizi mawili tofauti eneo la Pwani ya Kenya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Gaza:Watu 100 wauawa katika mashambulizi

Idadi ya watu waliofariki katika mashambulizi yanayofanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza, katika siku nne zilizopita, imefika 100

 

9 years ago

GPL

WATU ZAIDI YA 150 WAUAWA KATIKA MASHAMBULIZI PARIS, UFARANSA

Mauaji katika mghahawa wa Rue Bichat, Paris Gari la huduma ya kwanza. Walionusulika katika shambulizi lililofamyika kwenye ukumbi wa Batclan. ...Wakiokolewa. Miili ya marehemu wa mashambulizi hayo. Hali ya sintofahamu mjini paris.…

 

11 years ago

BBCSwahili

5 wauawa katika mlipuko Nigeria

Watu 5 akiwemo mshambuliaji wauawa katika mlipuko wa bomu katika gari, kaskazini mashariki mwa Nigeria

 

11 years ago

BBCSwahili

Watu 70 wauawa katika milipuko Nigeria

Zaidi ya watu 70 wameripotiwa kuuawa katika milipuko miwili mjini Abuja, Nigeria

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 10 wauawa katika mlipuko Nigeria

Ripoti za kaskazini mwa Nigeria zinasema kuwa watu kadhaa wameuawa na mlipuko wa bomu karibu na mashine ya kutoa pesa ya ATM.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani