3 wauawa katika mashambulizi Beirut
Maafisa wa usalama wanasema washambulizi wawili wa kujitoa muhanga wamejilipua karibu na ubalozi wa Iran na kuwauwa watu 3 wengine wakijeruhiwa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili27 Jan
52 wauawa katika mashambulizi Nigeria
Afisa mmoja wa usalama amesema waliofanya mashambulizi walitega mabomu katika soko moja katika kijiji cha Kawuri siku ya Jumapili.
11 years ago
Habarileo07 Jul
Watu 29 wauawa katika mashambulizi Kenya
WATU wenye silaha wameua watu 29 katika mashambulizi mawili tofauti eneo la Pwani ya Kenya.
11 years ago
BBCSwahili11 Jul
Gaza:Watu 100 wauawa katika mashambulizi
Idadi ya watu waliofariki katika mashambulizi yanayofanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza, katika siku nne zilizopita, imefika 100
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/Rue-Bichat.jpg?width=650)
WATU ZAIDI YA 150 WAUAWA KATIKA MASHAMBULIZI PARIS, UFARANSA
Mauaji katika mghahawa wa Rue Bichat, Paris Gari la huduma ya kwanza. Walionusulika katika shambulizi lililofamyika kwenye ukumbi wa Batclan. ...Wakiokolewa. Miili ya marehemu wa mashambulizi hayo. Hali ya sintofahamu mjini paris.…
11 years ago
BBCSwahili07 Jan
30 wauawa kwenye mashambulizi Nigeria
Watu 30 wameuawa katika kijiji kimoja eneo la kati mwa Nigeria,jimbo la Plateu katika mzozo kuhusu ardhi na mifugo
10 years ago
BBCSwahili26 Sep
Watu 18 wauawa kwa mashambulizi Nigeria
Watu 18 wameuawa baada ya kushambuliwa na watu wanaoaminika kuwa wanamgambo wa Boko Haram mjini Shaffa
5 years ago
BBC21 Jun
Ethiopian maids dumped outside Beirut embassy
Domestic workers have been left homeless and unpaid amid an ongoing economic crisis in Lebanon, heightened by the coronavirus pandemic.
5 years ago
BBCSwahili23 Jun
Wafanyakazi wahamiaji walalamikia kutupwa nje ya ubalozi wa Ethiopia mjini Beirut
Wafanyakazi wahamiaji walalamikia kutupwa nje ya ubalozi wa Ethiopia mjini Beirut wakati nchi hiyo ikikabiliwa na athari za kiuchumi kutokana na janga la corona.
11 years ago
BBCSwahili18 Apr
Wakimbizi wauawa katika kambi ya UN
Afisa wa Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini Toby Lanzer ameiambia BBC kuwa wakimbizi waliuawa katika kambi ya UN iliyoko Bor.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania