Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mamia wauawa katika mgogoro wa Yemen

Mamia ya watu wamepoteza maisha nchini Yemen kutokana na mapigano kati ya vikundi vya waasi na majeshi ya serikali

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

John Kerry aionya Iran kuhusu mgogoro Yemen

Waziri wa maswala ya kigeni nchini Marekani John Kerry ameionya Iran dhidi ya hatua yake ya kuwaunga mkono wapiganaji wa Houthi wanaopambana na serikali ya Yemen.

Katika mahojiano ya Televisheni, John Kerry amesema Marekani itaiunga mkono nchi yoyote mashariki ya Kati itakayotishiwa na Iran.

Iran na Marekani

Jana Iran ilituma meli mbili za kivita katika bandari ya Aden kuwaunga mkono waasi, ambao wanapambana kuudhibiti mji huo.

Marekani inaunga mkono muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudia...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 30 wauawa kwa mabomu ,Yemen

Mfululizo wa milipuko ya mabomu imeendelea kurushwa katika misikiti ya Shia na Ofisi zilizopo katika la jimbo la Yemen, Sanaa, na kusababisha vifo vya watu 30.

 

10 years ago

StarTV

Watu 30 wauawa kwa mabomu nchini Yemen


Mahsmbulizi ya mabomu huko Sanaa

Mfululizo wa milipuko ya mabomu imeendelea kurushwa katika misikiti ya Shia na Ofisi zilizopo katika la jimbo la Yemen, Sanaa, na kusababisha vifo vya watu 30.

Mashambulizi hayo ya mabomu yamewalenga waumini wa Shia waliokuwa katika ibada yao ya jioni, na Ofisi ambayo yanatumiwa na kikundi cha waasi wa Houthi.

Wanamgambo wa Islamic State wamekiri kuhusika na milipuko hiyo na kudai kuwa ni hatua yao ya kulipa kisasi dhidi ya Houthi, walioteka jimbo la Yemen na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mamia wauawa na Boko Haram Nigeria

Mamia ya watu waliuawa katika shambulizi lililofanywa na kundi la wapiganaji wa Boko Haram katika mpaka wa nchi hiyo na Cameroon siku ya Jumanne.

 

11 years ago

BBCSwahili

7 wauawa kwenye mgogoro wa ardhi TZ

Watu saba wameuwa na wengine wamejeruhiwa katika mapigano ya jamii za wakulima na Wafugaji mkoani Manyara nchini Tanzania.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 20 wauawa mgogoro wa Ukraine

Zaidi ya watu 20 wamekufa katika vurugu mashariki mwa Ukraine wakati mkutano wa viongozi ukitarajiwa kuanza Jumatano

 

9 years ago

Mwananchi

Mamia ya mahujaji wafariki katika mkanyagano Makka

Watu wasiopungua 717 wamekufa, huku wengine 816 wamejeruhiwa leo jirani na mji mtakatifu wa Makka walikokwenda kuhiji ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa moja ya nguzo muhimu katika Imani ya dini ya Kiislamu, maofisa Saudi Arabia wathibitisha.

 

10 years ago

BBCSwahili

Pellegrini:Mancity haipo katika mgogoro

Mkufunzi wa kilabu ya Manchester City Manuel Pellegrini amesisitiza kuwa kilabu yake haiko katika mgogoro .

 

10 years ago

Mwananchi

Namna ya kusuluhisha mgogoro katika ajira

Binadamu tuna tabia mbalimbali. Kuna wavumilivu, kuna wanaopenda kuelimisha wenzao, lakini pia kuna wengine wana hasira za haraka, hutenda bila kufikiri wala kufuata hatua. Waajiri na wajiriwa nao ni miongoni mwa binadamu, kwa hiyo haya yote wanaweza kuyafanya na wao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani