Mamia wauawa katika mgogoro wa Yemen
Mamia ya watu wamepoteza maisha nchini Yemen kutokana na mapigano kati ya vikundi vya waasi na majeshi ya serikali
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV09 Apr
John Kerry aionya Iran kuhusu mgogoro Yemen
Waziri wa maswala ya kigeni nchini Marekani John Kerry ameionya Iran dhidi ya hatua yake ya kuwaunga mkono wapiganaji wa Houthi wanaopambana na serikali ya Yemen.
Katika mahojiano ya Televisheni, John Kerry amesema Marekani itaiunga mkono nchi yoyote mashariki ya Kati itakayotishiwa na Iran.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/04/02/150402180008_iran_640x360_ap_nocredit.jpg)
Jana Iran ilituma meli mbili za kivita katika bandari ya Aden kuwaunga mkono waasi, ambao wanapambana kuudhibiti mji huo.
Marekani inaunga mkono muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudia...
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Watu 30 wauawa kwa mabomu ,Yemen
10 years ago
StarTV18 Jun
Watu 30 wauawa kwa mabomu nchini Yemen
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/06/17/150617192956_sanaa_640x360_ap.jpg)
Mahsmbulizi ya mabomu huko Sanaa
Mfululizo wa milipuko ya mabomu imeendelea kurushwa katika misikiti ya Shia na Ofisi zilizopo katika la jimbo la Yemen, Sanaa, na kusababisha vifo vya watu 30.
Mashambulizi hayo ya mabomu yamewalenga waumini wa Shia waliokuwa katika ibada yao ya jioni, na Ofisi ambayo yanatumiwa na kikundi cha waasi wa Houthi.
Wanamgambo wa Islamic State wamekiri kuhusika na milipuko hiyo na kudai kuwa ni hatua yao ya kulipa kisasi dhidi ya Houthi, walioteka jimbo la Yemen na...
11 years ago
BBCSwahili07 May
Mamia wauawa na Boko Haram Nigeria
11 years ago
BBCSwahili13 Jan
7 wauawa kwenye mgogoro wa ardhi TZ
10 years ago
BBCSwahili11 Feb
Watu 20 wauawa mgogoro wa Ukraine
9 years ago
Mwananchi24 Sep
Mamia ya mahujaji wafariki katika mkanyagano Makka
10 years ago
BBCSwahili11 Apr
Pellegrini:Mancity haipo katika mgogoro
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Namna ya kusuluhisha mgogoro katika ajira