Pellegrini:Mancity haipo katika mgogoro
Mkufunzi wa kilabu ya Manchester City Manuel Pellegrini amesisitiza kuwa kilabu yake haiko katika mgogoro .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili11 Aug
Pellegrini:ManCity itatetea taji lake
Kocha wa Man City Manuel Pellegrini amesema kuwa anamatumaini timu hiyo itatetea taji lake msimu huu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9whBoo1pTWNapwI0SlUIHt5GlwnvDqfl04yqEK8tuhpDRSk6itTx4qH-ZK9qcok83z5--vqX-*vqnoN0HpPRMw0UqtXlyiJ3/Manuel_Pellegrini_2767052b.jpg?width=650)
PELLEGRINI ATAPATAPA KUTETEA UJIRA WAKE MANCITY
Kocha Mkuu wa Manchester City Manuel Pellegrini. Kikosi cha timu ya soka cha Manchester City. Kocha Mkuu wa kilabu ya soka ya Manchester City Manuel Pellegrini amesisitiza kuwa kilabu yake haiko katika mgogoro aidha baina ya wachezaji au viongozi wake. Pellegrini ambaye ni raia wa Chile anatapatapa kutetea ujira wake katika klabu hiyo kama mkufunzi huku timu yake ikitarajia kukipiga na Manchester United siku ya jumapili ya April...
10 years ago
BBCSwahili07 Apr
Mamia wauawa katika mgogoro wa Yemen
Mamia ya watu wamepoteza maisha nchini Yemen kutokana na mapigano kati ya vikundi vya waasi na majeshi ya serikali
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Namna ya kusuluhisha mgogoro katika ajira
Binadamu tuna tabia mbalimbali. Kuna wavumilivu, kuna wanaopenda kuelimisha wenzao, lakini pia kuna wengine wana hasira za haraka, hutenda bila kufikiri wala kufuata hatua. Waajiri na wajiriwa nao ni miongoni mwa binadamu, kwa hiyo haya yote wanaweza kuyafanya na wao.
10 years ago
Mwananchi19 Aug
Waungwana, hivi BMT ipo au haipo?
Baraza la Michezo la Taifa (BMT), ni mojawapo ya vyombo vya juu vya Serikali katika kushughulikia masuala mbalimbali ya michezo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2VGrzzXedu1TG1vBpvO*WBn7YBJPckrS8OiTjse5mfs3-cnrE34BgNDEozqy3rrqBgvltbwSVPD6PB0r4XkOv2Om07JPnNw3/jide.jpg)
NDOA, HAIPO: GARDNER AMSALITI JIDE?
Stori: Waandishi Wetu
LICHA ya kutothibitishwa juu ya kuwepo au kutokuwepo kwa ndoa yake na mwanamuziki Judith Wambura Mbibo ‘Jide’, mtangazaji maarufu Bongo, Gardner G. Habash ‘Kepteini’ amenaswa na kabinti akiwa kwenye pozi tata za kimahaba hivyo baadhi ya watu kuhoji anasaliti ndoa? Risasi Jumamosi lilifuatilia hatua kwa hatua. Mtangazaji maarufu Bongo, Gardner G. Habash ‘Kepteini’...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dMNnaPiQ3VitVR-Y00RNYrpy7w5A636ejrQAVs97Pt45OrU0KyltnxnC-SMqIY6Ima-WSw5fcjdlqopNbS96-3P0B54MzhoL/BEYONCENAJAYZ.jpg)
KISA RIHANNA, BEYONCE NA JAY Z WAINGIA KATIKA MGOGORO
Beyonce na Jay Z katika pozi. MWANAMUZIKI Beyoncé Giselle Knowles 'Beyonce' na mumewe Shawn Corey Carter 'Jay Z' wameripotiwa kuwa kwenye mgogoro tena huku mwanamuziki Rihanna akihusishwa. Wanandoa hao wapo kwenye mgogoro kutokana na simu ya siri ambayo Jay Z anadaiwa kuitumia kuwasiliana na Rihanna pasipo Beyonce kujua. Wanaume wengi wana simu za siri ambazo hutumia kuwasiliana na watu wao kwa siri, ila mara nyingi wanakuwa...
10 years ago
Mwananchi06 Jul
MTAZAMO : Wizara ya michezo ni kama haipo, tazameni vizuri
Kwa nini taasisi za kijamii zisipendekeze awamu moja ya uongozi wa Serikali iwe na miaka sita au saba badala ya kuhimiza utawala wa awamu mbili za miaka mitano mitano? Nadhani wafanyie kazi jambo hili.
10 years ago
MichuziNYALANDU ATINGA LOLIONDO KUJADILIANA NA MADIWANI KUHUSIANA NA MGOGORO WA ARDHI KATIKA MAENO HAYO
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania