Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PELLEGRINI ATAPATAPA KUTETEA UJIRA WAKE MANCITY

Kocha Mkuu wa Manchester City Manuel Pellegrini. Kikosi cha timu ya soka cha Manchester City. Kocha Mkuu wa kilabu ya soka ya Manchester City Manuel Pellegrini amesisitiza kuwa kilabu yake haiko katika mgogoro aidha baina ya wachezaji au viongozi wake. Pellegrini ambaye ni raia wa Chile anatapatapa kutetea ujira wake katika klabu hiyo kama mkufunzi huku timu yake ikitarajia kukipiga na Manchester United siku ya jumapili ya April...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Pellegrini:ManCity itatetea taji lake

Kocha wa Man City Manuel Pellegrini amesema kuwa anamatumaini timu hiyo itatetea taji lake msimu huu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Pellegrini:Mancity haipo katika mgogoro

Mkufunzi wa kilabu ya Manchester City Manuel Pellegrini amesisitiza kuwa kilabu yake haiko katika mgogoro .

 

10 years ago

Michuzi

BONDIA MAOKOLA AMDUNDA MKALAKALA KWA K,O YA RAUNDI YA 7 NA KUTETEA MKANDA WAKE

Mabondia Anthony Peter kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Hamidu Mussa wakati wa mpambano wao.  Mussa alishinda kwa point mpambano huo  Mabondia Ibrahimu Maokola kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Selemani Mkalakala wakati wa kugombania ubingwa wa Taifa unaotambuliwa na chama cha TPBC Maokola alishinda kwa k,o ya raundi ya saba  Bondia Selemani Mkalakala akiwa chini kwa konde zito alilotupiwa na Ibrahimu Maokola wakati wa mpasmbano wao wa ubingwa IBRAHIMU...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Malipo, makato ya ujira kisheria

KATIKA makala zangu za huko nyuma niliwahi kuzungumzia juu ya haki mbalimbali za wafanyakazi kwa mujibu wa sheria kama zilivyoainishwa, zinazoratibu mambo ya ajira hapa nchini. Kwa ufupi niliwahi kuzungumzia...

 

9 years ago

Habarileo

Ujira sekta isiyo rasmi kuboreshwa

SERIKALI imesema inaendelea kuangalia namna ya kuboresha mishahara kwa wafanyakazi wa sekta isiyo rasmi wapate manufaa ambayo yataweza kubadilisha maisha yao kutoka hatua moja hadi nyingine. Baadhi ya sekta zinazoangaliwa ni pamoja na wajenzi, wafanyakazi wa saluni na madereva wa muda mfupi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watoto waajiriwa kwa ujira wa ndama

BAADHI ya watoto wilayani Nkasi, Rukwa hasa maeneo ya vijijini, wamekuwa wakiajiriwa na familia za wafugaji kwa ujira wa ndama mmoja kwa mwaka. Uchunguzi uliofanywa na mwandishi wa habari hizi,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Vibarua wa usafi Singida wagoma kushinikiza ujira wa toka Novemba

DSC04887

Baadhi ya wanawake walioajiriwa kufanya kazi kwa muda ya kuufanyia usafi mji wa Singida,wakiwa wamelundikana katika ofisi ya makao makuu ya manispaa ya Singida,baada ya kuambiwa hakuna fedha za kulipa ujira wao kuanzia Novemba mwaka jana hadi Machi 31 mwaka huu.

Na Nathaniel Limu, Singida

VIBARUA wanawake 15 walioajiriwa kufanya kazi ya usafi kwa muda na manispaa ya Singida,wamegoma kuendelea kufanya usafi hadi hapo watakapolipwa ujira/posho yao kuanzia novemba mwaka jana hadi machi 31...

 

10 years ago

Habarileo

Polisi yanasa wanne kwa tuhuma za kuua kwa ujira

Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Kagera, Henry MwaibambePOLISI mkoani Kagera, inashikilia watu wanne kwa tuhuma za kukodiwa kufanya mauaji yanayohusisha imani za kishirikina.

 

9 years ago

BBCSwahili

Pellegrini:''Guardiola hanitishi''

Mkufunzi wa kilabu ya Manchester City Manuel Pellegrini amesema kuwa hana wasiwasi na ripoti zinazomuhusisha mkufunzi wa Bayern Munich Pep Guardiola na kazi yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani