Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malipo, makato ya ujira kisheria

KATIKA makala zangu za huko nyuma niliwahi kuzungumzia juu ya haki mbalimbali za wafanyakazi kwa mujibu wa sheria kama zilivyoainishwa, zinazoratibu mambo ya ajira hapa nchini. Kwa ufupi niliwahi kuzungumzia...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Likizo kwa malipo iko kisheria, siyo msaada

Binadamu wa kawaida katika maisha yetu na shughuli zetu, tunakutana na mengi sana ikiwa ni pamoja na magonjwa, misiba, msongo wa mawazo na vitu vingine vingi sana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watoto waajiriwa kwa ujira wa ndama

BAADHI ya watoto wilayani Nkasi, Rukwa hasa maeneo ya vijijini, wamekuwa wakiajiriwa na familia za wafugaji kwa ujira wa ndama mmoja kwa mwaka. Uchunguzi uliofanywa na mwandishi wa habari hizi,...

 

9 years ago

Habarileo

Ujira sekta isiyo rasmi kuboreshwa

SERIKALI imesema inaendelea kuangalia namna ya kuboresha mishahara kwa wafanyakazi wa sekta isiyo rasmi wapate manufaa ambayo yataweza kubadilisha maisha yao kutoka hatua moja hadi nyingine. Baadhi ya sekta zinazoangaliwa ni pamoja na wajenzi, wafanyakazi wa saluni na madereva wa muda mfupi.

 

10 years ago

GPL

PELLEGRINI ATAPATAPA KUTETEA UJIRA WAKE MANCITY

Kocha Mkuu wa Manchester City Manuel Pellegrini. Kikosi cha timu ya soka cha Manchester City. Kocha Mkuu wa kilabu ya soka ya Manchester City Manuel Pellegrini amesisitiza kuwa kilabu yake haiko katika mgogoro aidha baina ya wachezaji au viongozi wake. Pellegrini ambaye ni raia wa Chile anatapatapa kutetea ujira wake katika klabu hiyo kama mkufunzi huku timu yake ikitarajia kukipiga na Manchester United siku ya jumapili ya April...

 

10 years ago

Dewji Blog

Vibarua wa usafi Singida wagoma kushinikiza ujira wa toka Novemba

DSC04887

Baadhi ya wanawake walioajiriwa kufanya kazi kwa muda ya kuufanyia usafi mji wa Singida,wakiwa wamelundikana katika ofisi ya makao makuu ya manispaa ya Singida,baada ya kuambiwa hakuna fedha za kulipa ujira wao kuanzia Novemba mwaka jana hadi Machi 31 mwaka huu.

Na Nathaniel Limu, Singida

VIBARUA wanawake 15 walioajiriwa kufanya kazi ya usafi kwa muda na manispaa ya Singida,wamegoma kuendelea kufanya usafi hadi hapo watakapolipwa ujira/posho yao kuanzia novemba mwaka jana hadi machi 31...

 

10 years ago

Mwananchi

TRL walalamikia makato ya bima

Wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania (TRL), wameulalamikia uongozi wao kwa kuwakata fedha kwa ajili ya bima ya afya, lakini makato hayo kutopelekwa kwa wakati na kusababisha wakataliwe kutibiwa hospitalini.

 

10 years ago

Mwananchi

Suala la makato lahojiwa bungeni

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya amesema hakuna tofauti ya makato ya kodi ya mishahara inayoweza kutokea baina ya wafanyakazi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano (SMT) na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ).

 

10 years ago

Mwananchi

Madiwani walalamikia makato benki

>Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Msalala, wilayani Kahama, mkoani Shinyanga wamelalamikia makato ya madeni yao kwenye Benki ya CRDB Tawi la Kahama kwa madai wanakatwa bila kufuata utaratibu wa mkataba.

 

11 years ago

Habarileo

Walimu wa leseni kurejeshewa makato

Kassim MajaliwaWALIMU wa leseni walioajiriwa na Serikali na kupewa mafunzo ya awali na ya ualimu ya muda wa mwezi mmoja, waliokatwa mshahara wao kwa ajili ya kuchangia Chama cha Walimu Tanzania (CWT), watarudishiwa makato hayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani