Suala la makato lahojiwa bungeni
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya amesema hakuna tofauti ya makato ya kodi ya mishahara inayoweza kutokea baina ya wafanyakazi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano (SMT) na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Oct
TRL walalamikia makato ya bima
11 years ago
Habarileo21 Jun
Walimu wa leseni kurejeshewa makato
WALIMU wa leseni walioajiriwa na Serikali na kupewa mafunzo ya awali na ya ualimu ya muda wa mwezi mmoja, waliokatwa mshahara wao kwa ajili ya kuchangia Chama cha Walimu Tanzania (CWT), watarudishiwa makato hayo.
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Madiwani walalamikia makato benki
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Malipo, makato ya ujira kisheria
KATIKA makala zangu za huko nyuma niliwahi kuzungumzia juu ya haki mbalimbali za wafanyakazi kwa mujibu wa sheria kama zilivyoainishwa, zinazoratibu mambo ya ajira hapa nchini. Kwa ufupi niliwahi kuzungumzia...
11 years ago
Habarileo22 May
Wakulima wahoji makato kwa Dola
WAKULIMA wa kahawa mkoani Kigoma wameitaka serikali mkoani humo kutatua tatizo la makato kwa mfumo wa Dola ya Marekani wakati wa mauzo yanayofanywa na Bodi ya Kahawa nchini.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-x5qgU_cv884/Vg11PhWrtfI/AAAAAAABePM/OohkazCSfJY/s72-c/SSRA%2Blogo.png)
Wafanyakazi watakiwa kufuatilia makato yao
![](http://3.bp.blogspot.com/-x5qgU_cv884/Vg11PhWrtfI/AAAAAAABePM/OohkazCSfJY/s640/SSRA%2Blogo.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jNPWGXKyPEU/Vg11NMaDOmI/AAAAAAABePE/IfFgrE_kc-g/s640/Ansgar%2BMushi.png)
Na Mwandishi wetu, DodomaWANACHAMA wa mifuko ya Hifadhi ya Jamii wametakiwa kufuatilia makato yao kwa kuwa baadhi ya waajiri wanachelewa kupeleka makato yao. Mbali na hilo, waajiri wa mmetakiwa kutowalazimisha wafanyakazi wao kujiunga na mfuko wasioupenda badala yake wapewe nafasi ya kujieleza. Kauli hiyo, ilitolewa jana na Ofisa Tehama wa Mamlaka ya Usimamizi na...
10 years ago
Mwananchi19 Oct
TFF, klabu wapeana muda kujadili makato
10 years ago
Mwananchi09 Oct
Ndumbaro aivimbia kamati TFF makato ya asilimia tano