Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu 30 wameuawa Baghdad

Bomu lililokuwa limetegwa ndani ya lori mjini Baghdad limelipuka na kuua watu zaidi ya 30 Iraq

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Watu 27 wameuawa hotelini Tunisia

Watu wenye silaha wameshambulia hoteli moja ya kitalii iliyoko kwenye pwani ya Tunisia na kuwauwa takriban watu 27

 

10 years ago

BBCSwahili

UN Watu 6000 wameuawa Ukraine

Ripoti ya umoja wa mataifa kuhusu haki za kibinadamu imesema kuwa hali inazidi kuzorota mashariki mwa Ukraine

 

9 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya watu 20 wameuawa Thailand

Mojawepo ya sehemu takatifu na maarufu zaidi katika mji mkuu wa Thailand, Bangkok imelipuliwa na mlipuko mkubwa

 

10 years ago

Michuzi

TUNISIA: WATU 37 WAMEUAWA HOTELINI

Watu wenye silaha wameshambulia hoteli moja ya kitalii iliyoko kwenye pwani ya Tunisia na kuwauwa watu 37. Maafisa wa serikali ya Tunisia wamesema kuwa mmoja wa washambuliaji hao aliuawa kwa kupigwa risasi na maafisa wa ulinzi na kuwa waliosalia bado wanasakwa na polisi. Shambulio hilo lilitokea katika mji wa Sousse, ambao huwavutia maelfu ya watalii kutoka bara Ulaya na Afrika ya Kaskazini. Hili lilikuwa shambulizi la pili dhidi ya hoteli ya watalii nchini Tunisia katika kipindi cha miezi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 4 wameuawa usiku wa jana Bujumbura

Polisi wamesema watu wanne wameuawa usiku wa jana katika mashambulio yaliyotokea maeneo tofauti ya mji mkuu wa Bujumbura Burundi

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wawaua watu 11 Baghdad

Mashambulizi ya mabomu yamewaua takriban watu 11 katika wilaya zenye washia wengi kwenye mji mkuu wa Iraq Baghdad.

 

9 years ago

Bongo5

Baghdad kuachia wimbo mpya wenye sauti za watu maarufu/mashuhuri 70 Ijumaa hii!

baghdad

Rapper Baghdad anaachia wimbo mpya Ijumaa hii, wimbo ambao mwenywe anasema utavunja rekodi kutokana na kutumia sauti za watu maarufu/mashuhuri 70.

baghdad

Katika wimbo huo unaoitwa ‘Unaakili wewe?” kamshirikisha Roma.

Kupitia Instagram Baghdad ambaye ameoa hivi karibuni na kupata mtoto wa kwanza, ameandika:

“Wimbo mpya wa baghdad na Roma unatoka tarehe….4th december Ijumaa!! Wimbo huo umevunja rekodi, kwakuwa wimbo uliohusisha watu maarufu/mashuhuri zaidi ya 50! Ndani ya wimbo huo utawasikia watu...

 

9 years ago

Bongo5

Baghdad atahadharisha watu wasijekuelewa vibaya wimbo wake ujao ‘Ninae’, amewataja Diamond na Alikiba

Rapper Baghdad amewatahadharisha watu wasije kuuelewa vibaya wimbo wake ujao, ‘Ninae.’ Baghdad na mke wake Rapper huyo ambaye hivi ndoa July 25 mwaka huu na mchumba wake waliyedumu kwa miaka mitatu, ameiambia Bongo5 kuwa wimbo huo umefanyika kwenye studio za Kaburu Records na producer akiwa ni Islam Touches ‘Ninae’ unazungumzia mtu ambaye amepata mpenzi wa […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Al shabaab 13 wameuawa Kenya

Wapiganaji 13 wa kundi la Kiislamu la Al Shabaab wameuawa baada ya kushambulia kambi ya jeshi katika eneo la Lamu pwani ya Kenya

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani