Coaster yaua watu 11 na kujeruhi 25 Muheza
Watu 11 wamekufa papo hapo na wengine 25 kujeruhiwa baada ya basi dogo kugongana uso kwa uso na lori aina ya Scania katika Kijiji cha Mkanyageni, wilayani Muheza, Mkoa wa Tanga.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
AJALI YA BASI LA MOHAMED TRANS YAUA WATU SITA NA KUJERUHI

9 years ago
Mwananchi18 Dec
Ajali ya malori yaua watu wawili, kujeruhi wengine watatu Bagamoyo
10 years ago
Michuzi.jpg)
ajali yaua watu wawili na kujeruhi wawili mkoani lindi
.jpg)
Kamanda Mzinga aliwataja waliokufa...
11 years ago
Habarileo26 Jul
Ajali yaua 3, kujeruhi 46
WATU watatu wamekufa na wengine 46 kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Uchunga wilayani Kishapu mkoani Shinyanga.
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Hiace yaua saba na kujeruhi
10 years ago
GPL
AJALI YAUA 16 NA KUJERUHI 75 TABORA
9 years ago
Habarileo16 Sep
Ajali basi la Metro yaua 5, kujeruhi 39
WATU watano wamekufa papo hapo na wengine 39 kujeruhiwa vibaya baada ya basi la Kampuni ya Metro, kuacha njia, kutumbukia bondeni na kupinduka.
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Ajali ya basi yaua 12 na kujeruhi 22 Iringa
Taswira kutoka eneo la ajali.
Takribani watu 12 wanadaiwa kupoteza maisha huku wengine 22 wakijeruhiwa baada ya basi la New Force kupata ajali leo eneo la Mahenge Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa.
Basi hilo lilikuwa likitokea mkoani Mbeya kuelekea Dar es Salaam na limepata ajali mchana huu.
Jitihada za kuondoa miili na kusafirisha majeruhi kuwapeleka hospitali zinaendelea.
9 years ago
Mwananchi18 Sep
Ajali yaua wawili, kujeruhi 15 Lushoto