Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Coaster yaua watu 11 na kujeruhi 25 Muheza

Watu 11 wamekufa papo hapo na wengine 25 kujeruhiwa baada ya basi dogo kugongana uso kwa uso na lori aina ya Scania katika Kijiji cha Mkanyageni, wilayani Muheza, Mkoa wa Tanga.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

AJALI YA BASI LA MOHAMED TRANS YAUA WATU SITA NA KUJERUHI

Imeripotiwa kuwa ajali ya Basi la Mohamed Trans iliyotokea leo asubuhi huko maeneo ya IGUNGA mkoani TABORA.Aidha mashuhuda wa ajali hiyo mbaya wamesema kuwa chanzo cha ajali hiyo ni baada ya dereva wa basi hilo alipokuwa akijaribu kulipita roli lililokuwa mbele yake hali iliyo pelekea gari kukosa muelekeo na kumshinda dereva na kisha kuanguka."Basi hilo baada ya kukosa mwelekeo liliiingia kwenye shimo lililokua kando ya barabara hiyo na kupinduka ambapo jumla ya Watu sita wamethibitika...

 

9 years ago

Mwananchi

Ajali ya malori yaua watu wawili, kujeruhi wengine watatu Bagamoyo

Watu wawili wamefariki dunia na wengine watatu kujeruhiwa baada ya magari ya mizigo aina ya Scania Kipisi na Mitsubish Fusso waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso.

 

10 years ago

Michuzi

ajali yaua watu wawili na kujeruhi wawili mkoani lindi

Na Abdulaziz Ahmed, LindiWatu wawili wamekufa na wawili kujeruhiwa baada ya gari waliyokuwa wanasafiria kuacha njia na kupinduka katika kijiji cha Michenga, wilaya ya Ruangwa Ruangwa mkoani Lindi.Kamanda wa polisi wa mkoa wa Lindi, ACP Renatha Mzinga alisema gari hiyo aina ya Toyota Rava4 yenye namba za usaji T574CWC.Iliyokuwa inaendeshwa na Mohamed Mchalaganya(27) iliacha njia na kupinduka katika barabara ya Ruangwa-Nanganga, ilitokea jana saa 11.30 jioni.
Kamanda Mzinga aliwataja waliokufa...

 

11 years ago

Habarileo

Ajali yaua 3, kujeruhi 46

WATU watatu wamekufa na wengine 46 kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Uchunga wilayani Kishapu mkoani Shinyanga.

 

9 years ago

Mwananchi

Hiace yaua saba na kujeruhi

Watu saba wamefariki dunia na wengine 10 kujeruhiwa baada ya gari aina ya Toyata Hiace lililokuwa likitokea Kigoma Mjini kuelekea Kijiji cha Subankala wilayani Uvinza kuteketea kwa moto katika Kijiji cha Mwakizega.

 

10 years ago

GPL

AJALI YAUA 16 NA KUJERUHI 75 TABORA

Watu 16 wamepoteza maisha huku 75 wakijeruhiwa baada ya basi la AM likitoka Mwanza-Mpanda kugongana na basi lingine la Sabena linalofanya safari zake Mbeya - Tabora katika eneo la Mlogoro, Sikonge mkoani Tabora jana.

 

9 years ago

Habarileo

Ajali basi la Metro yaua 5, kujeruhi 39

WATU watano wamekufa papo hapo na wengine 39 kujeruhiwa vibaya baada ya basi la Kampuni ya Metro, kuacha njia, kutumbukia bondeni na kupinduka.

 

9 years ago

Global Publishers

Ajali ya basi yaua 12 na kujeruhi 22 Iringa

New Force (1)

Taswira kutoka eneo la ajali.

Takribani watu 12 wanadaiwa kupoteza maisha huku wengine 22 wakijeruhiwa baada ya basi la New Force kupata ajali leo eneo la Mahenge Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa.

New Force (2)

Basi hilo lilikuwa likitokea mkoani Mbeya kuelekea Dar es Salaam na limepata ajali mchana huu.

Jitihada za kuondoa miili na kusafirisha majeruhi kuwapeleka hospitali zinaendelea.

 

9 years ago

Mwananchi

Ajali yaua wawili, kujeruhi 15 Lushoto

Watu wawili wamefariki dunia na wengine 15  kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka katika Kijiji cha Longoi Kata ya Mtae wilayani Lushoto jana majira ya saa 11.00 jioni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani