AJALI YA GARI YAUA WATATU KOROGWE
![](http://api.ning.com:80/files/lET3ABatHUkqC2tYEL5AWwhWzStDf9ZOXdla92VnfQ2PuOywk395LVu4rHZJEivWhIzBOCgCGZHGcTUZaQYgxKPOBCkgkWz4/AJALI5.jpg)
AJALI hii mbaya ilitokea juzi (Jumapili) katika Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga ambapo watu watatu wanadaiwa kupoteza maisha. Dereva wa gari hili lililopata ajali amelazwa katika Hospitali ya KCMC, Moshi akiendelea na matibabu. (PICHA ZOTE NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715779, KAMA UNA PICHA AU HABARI TUTUMIE KUPITIA NAMBA…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
Ajali yaua watatu Singida
WATU watatu akiwemo Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Kata ya Ngimu katika Halmashauri ya Wilaya ya Singida, wamekufa na wengine 10 kujeruhiwa baada ya gari aina ya Noah waliyokuwa...
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Ajali yaua watatu, 24 wajeruhiwa
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Ajali ya mtumbwi yaua watatu
WATU watatu wamefariki dunia na wengine 21 kujeruhiwa baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kutoka Kitongoji cha Ngw’ale kuelekea Mtwara Mjini kuzama baada ya kukumbwa na upepo mkali. Kamanda wa Polisi...
9 years ago
Mtanzania17 Sep
Ajali yaua watu watatu, yajeruhi 51
Victor Bariety na Emanuel Ibrahim, Geita
WATU watatu wamefariki dunia na wengine 51 kujeruhiwa mkoani Geita, baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupasua gurudumu kisha kupinduka.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Joseph Konyo alisema watu walifaki dunia katika ajali hiyo majina yao hajatambuliwa kutokana na miili yao kuharibika vibaya.
Alisema ajali hiyo, iliyotokea saa 3;30 asubuhi katika eneo la Nyantorotoro, ilihusisha basi la Sheraton lenye namba...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91sldqMElwhZZaGatqKQtVrNA5JCJIXdPs6Wy2wGTnCe78qc8qU1HE8sq8ryegPHIcUUouTdAk6NjjeckYAD-QjZlM/IMG20141212WA0008.jpg?width=650)
AJALI YAUA WATATU BUNJU B, DAR
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Ajali yaua watatu, nyingine yajeruhi 21
11 years ago
Mwananchi30 Jul
Ajali ya gari yaua baba, mwanaye
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Ajali ya gari yaua watu watano Hai
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A1Qs8*3Ts4xMX6XMvbnk9wYjoFBqNaaw8ttJgs-u*Tfr1xOTXANFTYw-cvBgc6PJdZ6NNwWlcgIEg1V9qpqzLbRZMOvsxX9A/MWANAME.jpg)
AJALI YA GARI YAUA MBEZI JIJINI DAR