Ajali yaua watatu Singida
WATU watatu akiwemo Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Kata ya Ngimu katika Halmashauri ya Wilaya ya Singida, wamekufa na wengine 10 kujeruhiwa baada ya gari aina ya Noah waliyokuwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog11 Sep
Ajali yaua askari Magereza mkoa wa Singida, wengine watatu wafa kwenye matukio tofauti
Askari Magereza Ramadhan Mussa (54) enzi za uhai wake.
Na Hillary Shoo, SINGIDA.
WATU wanne wamefariki dunia Mkoani Singida katika matukio tofauti likiwemo la askari magereza mmoja wa Mkoa wa Singida kufa baada ya kupata ajali mbaya ya gari lake dogo kugongana uso kwa uso na lori usiku.
Kamanda wa polisi Mkoani hapa Geofrey Kamwela alisema askari magereza wa huyo ametambuliwa kuwa ni Staff Sagenti Ramadhan Mussa (54) alikufa papo hapo baada ya gari lake alilokuwa akiendesha kuacha njia na...
10 years ago
Mwananchi11 Sep
Ajali yaua watatu, 24 wajeruhiwa
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Ajali ya mtumbwi yaua watatu
WATU watatu wamefariki dunia na wengine 21 kujeruhiwa baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kutoka Kitongoji cha Ngw’ale kuelekea Mtwara Mjini kuzama baada ya kukumbwa na upepo mkali. Kamanda wa Polisi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lET3ABatHUkqC2tYEL5AWwhWzStDf9ZOXdla92VnfQ2PuOywk395LVu4rHZJEivWhIzBOCgCGZHGcTUZaQYgxKPOBCkgkWz4/AJALI5.jpg)
AJALI YA GARI YAUA WATATU KOROGWE
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Ajali yaua watatu, nyingine yajeruhi 21
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VNXpMB91sldqMElwhZZaGatqKQtVrNA5JCJIXdPs6Wy2wGTnCe78qc8qU1HE8sq8ryegPHIcUUouTdAk6NjjeckYAD-QjZlM/IMG20141212WA0008.jpg?width=650)
AJALI YAUA WATATU BUNJU B, DAR
9 years ago
Mtanzania17 Sep
Ajali yaua watu watatu, yajeruhi 51
Victor Bariety na Emanuel Ibrahim, Geita
WATU watatu wamefariki dunia na wengine 51 kujeruhiwa mkoani Geita, baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupasua gurudumu kisha kupinduka.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Joseph Konyo alisema watu walifaki dunia katika ajali hiyo majina yao hajatambuliwa kutokana na miili yao kuharibika vibaya.
Alisema ajali hiyo, iliyotokea saa 3;30 asubuhi katika eneo la Nyantorotoro, ilihusisha basi la Sheraton lenye namba...
9 years ago
Mwananchi27 Sep
Ajali zaua watatu Tanga, Singida
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Ajali yaua 12 singida, dereva atoweka