Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajali yaua watatu Singida

WATU watatu akiwemo Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Kata ya Ngimu katika Halmashauri ya Wilaya ya Singida, wamekufa na wengine 10 kujeruhiwa baada ya gari aina ya Noah waliyokuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Ajali yaua askari Magereza mkoa wa Singida, wengine watatu wafa kwenye matukio tofauti

RAMA

Askari Magereza Ramadhan Mussa (54) enzi za uhai wake.

Na Hillary Shoo, SINGIDA.

WATU wanne wamefariki dunia Mkoani Singida katika matukio tofauti likiwemo la askari magereza mmoja wa Mkoa wa Singida kufa baada ya kupata ajali mbaya ya gari lake dogo kugongana uso kwa uso na lori usiku.

Kamanda wa polisi Mkoani hapa Geofrey Kamwela alisema  askari magereza wa huyo ametambuliwa kuwa ni Staff Sagenti Ramadhan Mussa (54) alikufa papo hapo baada ya gari lake alilokuwa akiendesha kuacha njia na...

 

10 years ago

Mwananchi

Ajali yaua watatu, 24 wajeruhiwa

Watu watatu wamefariki dunia na wengine 24 kujeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kutoka Songea kwenda Mbeya kumgonga mwendesha baiskeli na kupinduka.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ajali ya mtumbwi yaua watatu

WATU watatu wamefariki dunia na wengine 21 kujeruhiwa baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kutoka Kitongoji cha Ngw’ale kuelekea Mtwara Mjini kuzama baada ya kukumbwa na upepo mkali. Kamanda wa Polisi...

 

10 years ago

GPL

AJALI YA GARI YAUA WATATU KOROGWE

AJALI hii mbaya ilitokea juzi (Jumapili) katika Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga ambapo watu watatu wanadaiwa kupoteza maisha. Dereva wa gari hili lililopata ajali amelazwa katika Hospitali ya KCMC, Moshi akiendelea na matibabu. (PICHA ZOTE NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715779, KAMA UNA PICHA AU HABARI TUTUMIE KUPITIA NAMBA…

 

10 years ago

Mwananchi

Ajali yaua watatu, nyingine yajeruhi 21

Watu watatu wamefariki dunia papo hapo baada ya lori la mafuta walilokuwa wamepanda kupinduka na kuwaka moto eneo la Wedi, katika Kijiji cha Maseyu mkoani Morogoro, huku wengine 21 wakijeruhiwa katika ajali nyingine iliyotokea Kimara, Dar es Salaam.

 

10 years ago

GPL

AJALI YAUA WATATU BUNJU B, DAR

Gari aina ya Toyota VX likiwaka moto baada ya kuchomwa na wananchi mchana leo Bunju B jijini Dar kwa kusababisha ajali na kuuwa madereva watatu wa bodaboda. Wananchi wakiwa eneo la tukio baada ya gari aina ya Toyota VX imeua madereva watatu wa bodaboda mchana leo.…

 

9 years ago

Mtanzania

Ajali yaua watu watatu, yajeruhi 51

kamanda_geitaVictor Bariety na Emanuel Ibrahim, Geita

WATU watatu wamefariki dunia na wengine 51 kujeruhiwa mkoani Geita, baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupasua gurudumu kisha kupinduka.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Joseph Konyo alisema watu walifaki dunia katika  ajali hiyo majina yao hajatambuliwa kutokana na miili yao kuharibika vibaya.

Alisema ajali hiyo, iliyotokea saa 3;30 asubuhi katika eneo la Nyantorotoro, ilihusisha basi la Sheraton lenye namba...

 

9 years ago

Mwananchi

Ajali zaua watatu Tanga, Singida

Watu watatu wamefariki dunia katika ajali mbili tofauti kwenye mikoa ya Tanga na Singida.

 

9 years ago

Mwananchi

Ajali yaua 12 singida, dereva atoweka

Abiria 12 wakiwemo wanaume saba na wanawake watano wamefariki baada ya basi walilopanda la kampuni ya Takibrii kugongana na lori la mafuta katika kijiji cha Kisonzo wilayani Iramba, Singida.Basi hilo lilikuwa linatokea Dar es Salaam kuelekea mji mdogo wa Katoro ulioko mkoani Geita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani