GEORGE TYSON AZIKWA LEO KIJIJINI KWAO SIAYA,NCHINI KENYA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Xzc2mQcbf_Y/U5w95m7KGAI/AAAAAAAFqoE/wPK9ECZxNgI/s72-c/IMG-20140614-WA0022.jpg)
Hapa ndipo mwili wa Marehemu George Tyson ulipozikwa mapema leo mchana katika kijiji cha Siaya,nchini Kenya.George Tyson ambaye alikuwa ni mmoja wa Waongozaji filamu mahiri hapa nchini Tanzania,alifarika kwa ajali ya gari wakati akitokea mkoani Dodoma kikazi akirejea jijini Dar.Mungu ailaze roho ya Marehemu mahali pema peponi.Amin.
Misa ya mwisho ya kumuombea marehemu George Tyson nyumbani kwao mapema leo mchana katika kijiji cha Siaya,nchini Kenya.
Ndugu na jamaa mbalimbali wakitoa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM05 Jun
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
GEORGE TYSON KUAGWA LEADERS CLUB, KUZIKWA KISUMU NCHINI KENYA
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-ofacbSIeHa8/Vlz-2QOe-8I/AAAAAAAAXWM/W2NjKeXc1CM/s72-c/FB_IMG_1448933687746.jpg)
HATIMAYE ALPHONSE MAWAZO AZIKWA KIJIJINI KWAO GEITA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRl-5xYCSCPw2qJONrWCYJyDKtXZ4cqpH*JoqtK4ib3TReLqfRlYRjqNfZ8FnMN0K-XtF1DWPVkt9bdCt75Gjobt/1.jpg?width=650)
PICHA YA KWANZA: MAZISHI YA TYSON NCHINI KENYA LEO
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
George Tyson kuagwa Leaders Club leo
MWILI wa aliyekuwa muasisi wa filamu za kibongo nchini, George Otieno ‘George Tyson’, unatarajiwa kuagwa leo katika viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini Dar es Salaam kuanzia saa 3 asubuhi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SAA4EGYhkxc/U48_aekqvEI/AAAAAAAFni0/rBpD-1poN04/s72-c/2.jpg)
MAREHEMU GEORGE TYSON AAGWA LEO JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-SAA4EGYhkxc/U48_aekqvEI/AAAAAAAFni0/rBpD-1poN04/s1600/2.jpg)
Sehemu ya Wacheza Filamu nchini waliokuwa wamebeba Jeneza lenye Mwili wa Marehemu George Otieno Okomu (George Tyson) wakijipanga tayari kwa akili ya kuongoza shughuli ya Kuga mwili iliyofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club,Kinondoni jijini Dar es Salaam leo.Mwili huo umesafirishwa kupelekwa nchini Kenya ambako ni nyumbani kwao na Marehemu kwa ajili ya mazishi yatakayofanyika Jumamosi ijayo baada ya kukamiliza kwa mipango yote.
![](http://2.bp.blogspot.com/-BjNfoqMXnVM/U48_nmB1WGI/AAAAAAAFnkA/JnGKD_1GAss/s1600/29.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Mh. Said Meck Saddick...
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
Mwongozaji wa filamu maarufu nchini George Tyson Afariki dunia kwa ajali ya gari Morogoro
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinasema mongozaji wa filamu maarufu nchini George Otieno Tyson (Pichani) amefariki dunia kwa ajali ya gari huko Morogoro.
Taarifa hizi ambazo zimethibitishwa na watu wa karibu yake zinasema kuwa, mauti haya yamemfika baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupata ajali na kupinduka walipokuwa wameenda kwa ajili ya kipindi cha The mboni show ambacho yeye alikuwa ndiye muongozaji mkuu.
Wasanii na mastaa mbalimbali nchini wameoneshwa masikitiko yako juu ya...