Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hatimaye wakimbizi wa Somalia walioko Kenya kuanza kurudishwa makwao kwa hiari

Kambi ya wakimbizi Kenya Waswahili husema dalili za mvua ni mawingu, na panapofuka moshi kuna moto. Hii ni misemo inayoweza kuitumika kuelezea matumaini ya kutekelezeka kwa mkataba wa kuwarejesha makwao kwa hiari wafungwa wa Somalia waliko nchini Kenya zoezi ambalo awali lilikwama. Katika mahojiano maalum na Joseph Msami wa idhaa hii msemaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la wakimbizi UNHCR nchini Kenya Abel Mbilinyi ambaye pia anaeleza namna Kenya inavyowahifadhi wakimbizi wa Sudani...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wa Somalia:UN yaijibu Kenya

UN inasema haijapokea amri rasmi kutoka kwa serikali ya Kenya ya kuitaka ifunge kambi ya wakimbizi wa Somalia

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wa Somalia:Kenya yaonya UN

Serikali ya Kenya imeupatia Umoja wa Mataifa makataa ya miezi mitatu kuwahamisha wakimbizi wa Somalia wapatao nusu milioni

 

11 years ago

BBCSwahili

Australia yawarudisha wakimbizi makwao

Australia imedinda kutoa tamko kuhusu ripoti kwamba imezuia maboti mawili yaliokuwa yakiwabeba wakimbizi wa Tamil

 

10 years ago

BBCSwahili

Somalia yapinga kuhamishwa kwa wakimbizi

Somalia imesema kuwa kutakuwa na madhara makubwa iwapo Kenya itatekeleza uamuzi wake wa kuwahamisha mamia ya wakimbizi

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wa Somalia warejesha kwao

Shirika la UNHCR na serikali ya Kenya zimeanza kuwarejesha wakimbizi wa Somalia kwa ndege kufuatia makubaliano kati yao

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi Somalia wasirejeshwe:Amnesty

Amnesty International imeilaumu Ujerumani kwa kukiuka haki za binadamu dhidi ya wakimbizi wa Somalia.

 

9 years ago

BBCSwahili

11 wauawa kambi ya Wakimbizi,Somalia

Idara za Usalama mjini Mogadishu,Somalia zimeeleza watu 11 wameuawa kutokana na mapigano yaliyozuka katika kambi ya wakimbizi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani