Hatimaye wakimbizi wa Somalia walioko Kenya kuanza kurudishwa makwao kwa hiari
Kambi ya wakimbizi Kenya Waswahili husema dalili za mvua ni mawingu, na panapofuka moshi kuna moto. Hii ni misemo inayoweza kuitumika kuelezea matumaini ya kutekelezeka kwa mkataba wa kuwarejesha makwao kwa hiari wafungwa wa Somalia waliko nchini Kenya zoezi ambalo awali lilikwama. Katika mahojiano maalum na Joseph Msami wa idhaa hii msemaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la wakimbizi UNHCR nchini Kenya Abel Mbilinyi ambaye pia anaeleza namna Kenya inavyowahifadhi wakimbizi wa Sudani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Apr
Wakimbizi wa Somalia:UN yaijibu Kenya
10 years ago
BBCSwahili11 Apr
Wakimbizi wa Somalia:Kenya yaonya UN
11 years ago
BBCSwahili05 Jul
Australia yawarudisha wakimbizi makwao
10 years ago
BBCSwahili12 Apr
Somalia yapinga kuhamishwa kwa wakimbizi
10 years ago
BBCSwahili05 Aug
Wakimbizi wa Somalia warejesha kwao
10 years ago
BBCSwahili23 Oct
Wakimbizi Somalia wasirejeshwe:Amnesty
9 years ago
BBCSwahili17 Nov
11 wauawa kambi ya Wakimbizi,Somalia
11 years ago
Michuzi17 Jun