Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakimbizi Somalia wasirejeshwe:Amnesty

Amnesty International imeilaumu Ujerumani kwa kukiuka haki za binadamu dhidi ya wakimbizi wa Somalia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBC

Somalia offers Islamists amnesty

Somalia's government offers an amnesty to fighters of Islamist group al-Shabab, amid uncertainty over whether its leader survived a US air strike.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wa Somalia:UN yaijibu Kenya

UN inasema haijapokea amri rasmi kutoka kwa serikali ya Kenya ya kuitaka ifunge kambi ya wakimbizi wa Somalia

 

9 years ago

BBCSwahili

11 wauawa kambi ya Wakimbizi,Somalia

Idara za Usalama mjini Mogadishu,Somalia zimeeleza watu 11 wameuawa kutokana na mapigano yaliyozuka katika kambi ya wakimbizi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wa Somalia:Kenya yaonya UN

Serikali ya Kenya imeupatia Umoja wa Mataifa makataa ya miezi mitatu kuwahamisha wakimbizi wa Somalia wapatao nusu milioni

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wa Somalia warejesha kwao

Shirika la UNHCR na serikali ya Kenya zimeanza kuwarejesha wakimbizi wa Somalia kwa ndege kufuatia makubaliano kati yao

 

10 years ago

BBCSwahili

Somalia yapinga kuhamishwa kwa wakimbizi

Somalia imesema kuwa kutakuwa na madhara makubwa iwapo Kenya itatekeleza uamuzi wake wa kuwahamisha mamia ya wakimbizi

 

11 years ago

Michuzi

Hatimaye wakimbizi wa Somalia walioko Kenya kuanza kurudishwa makwao kwa hiari

Kambi ya wakimbizi Kenya Waswahili husema dalili za mvua ni mawingu, na panapofuka moshi kuna moto. Hii ni misemo inayoweza kuitumika kuelezea matumaini ya kutekelezeka kwa mkataba wa kuwarejesha makwao kwa hiari wafungwa wa Somalia waliko nchini Kenya zoezi ambalo awali lilikwama. Katika mahojiano maalum na Joseph Msami wa idhaa hii msemaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la wakimbizi UNHCR nchini Kenya Abel Mbilinyi ambaye pia anaeleza namna Kenya inavyowahifadhi wakimbizi wa Sudani...

 

10 years ago

Dewji Blog

Idadi ya Wakimbizi wa Burundi wanaohifadhiwa katika kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu yaongezeka

PIXX 3

Wakimbizi kutoka nchini Burundi  walioko katika kambi ya Nyarugusu wakiwa wamebeba shehena ya unga wa mahindi jana, muda mfupi baada ya kugawiwa chakula hicho Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia chakula (WFP), lililoweka kituo chake katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu wilayani Kasulu, mkoani Kigoma.(PICHA ZOTE NA KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI, WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI).

PIXX 1

Mkimbizi kutoka nchini Burundi, Jacqueline Elulu (mwenye mtoto), akisubiri kupata huduma ya...

 

10 years ago

Michuzi

WAKIMBIZI WA BURUNDI WAONGEZEKA MAKAMBI YA WAKIMBIZI MKOANI KIGOMA

 Baadhi ya Wakimbizi kutoka Burundi wakipokelewa katika Kambi ya Wakimbizi ya Nduta, wilayani Kobondo, mkoani Kigoma. Idadi ya wakimbizi kutoka nchini humo inazidi kuongezeka siku hadi siku.Watoto wa Wakimbizi kutoka Burundi wakiwa katika Kambi ya Wakimbizi ya Nduta wilayani Kibondo, mkoani Kigoma ambapo wanahifadhiwa. Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.



 

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHIIdadi ya raia wa Burundi wanaoingia nchini kutafuta...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani