Mafisadi waanza kujadiliwa China
Zaidi ya maofisa wa kisiasa 80 wa kigeni na wasomi wameanza kukutana mjini Beijing, China kujadili kampeni ya sasa dhidi ya ufisadi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Mchakato mahakama ya mafisadi waanza
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Uchumi wa China waanza kushuka
11 years ago
BBCSwahili18 Mar
Msako wa ndege waanza ardhini China
10 years ago
Michuzi13 Nov
Balozi Seif Ali Iddi na Ujumbe wake waanza ziara ya siku 10 nchini China

10 years ago
BBCSwahili20 May
Wahamiaji kujadiliwa,Malaysia
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Mauaji kiteto kujadiliwa Bungeni
BUNGE limepeleka kamati ndogo, chini ya uongozi wa Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka, kwenda kuchunguza mauaji ya kutisha yanayoendelea kutokea wilayani Kiteto mkoani Manyara. Hatua hiyo ilitangazwa jana Bungeni...
11 years ago
Mtanzania12 Sep
Mashine za EFDs kujadiliwa kimataifa

Mashine za EFD
RUTH MNKENI NA RAPHAEL NOLESCUS (TUDARCO), DAR ES SALAAM
MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema Mkutano Mkuu wa Kodi utasaidia kujadili changamoto za mashine za kielektroniki za EFDs na jinsi ya kuzitatua.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Kamishna Mkuu wa TRA, Rished Bade, alisema mkutano huo unaojumuisha nchi mbalimbali una lengo la kujadili namna ya kuimarisha taasisi za kodi nchi za Afrika.
Alisema mashine za EFDs zipo kwa mujibu wa sheria,...
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
Hatma ya wakimbizi Kenya kujadiliwa
11 years ago
Mwananchi24 Jun
Muswada wa VAT hatihati kujadiliwa