TFDA kufungua ofisi kanda ya kusini
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ci0LslOtrSU/VNSTT8ukzEI/AAAAAAACzeQ/kKHbJs9biGU/s72-c/unnamed.jpg)
Mkurugenzi mkuu wa TFDA, Hiiti Sillo (katikati), akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Halima Dendegu (wa kwanza kulia), katika ziara yake ya kikazi mkoani Mtwara ikiwa ni harakati za awali za TFDA kufungua ofisi ya Kanda ya Kusini kwa lengo la kusogeza huduma karibu na wananchi. Kushoto ni Mfamasia wa mkoa wa Mtwara Bw. Musa Nasoro.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 May
Kikwete kufungua mkutano Kanda ya Afrika keshokutwa
MKUTANO wa Kanda ya Afrika unaohusu Mpango wa Uendeshaji wa Shughuli za Serikali kwa Uwazi, utafanyika jijini Dar es Salaam kwa siku tatu kuanzia keshokutwa na utafunguliwa na Rais Jakaya Kikwete.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kj8IMjFHbhc/Veg2Hzole-I/AAAAAAAH2HI/iYJHXpWdM4U/s72-c/rais-kikwete1.jpg)
RAIS KIKWETE KUFUNGUA MKUTANO WA TAKWIMU HURIA KANDA YA AFRIKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-kj8IMjFHbhc/Veg2Hzole-I/AAAAAAAH2HI/iYJHXpWdM4U/s640/rais-kikwete1.jpg)
Mkutano huo utakaofunguliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete utafanyika tarehe 4 – 5 Septemba, 2015 katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam. Kauli Mbiu ni “Tumia Takwimu Huria Kuendeleza Afrika” (Developing Africa Through Open Data).
Washiriki takriban...
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Baraza Ewura kufungua ofisi mikoani
BARAZA la Watumiaji wa Huduma za Maji na Nishati (Ewura CCC) limesema mwaka huu wa fedha linatarajia kufungua ofisi katika ngazi ya mikoa ili huduma zake ziwafikie watumiaji wa huduma...
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Zanzibar kufungua ofisi ya utalii India
11 years ago
Habarileo05 May
Tanzania yasifiwa kufungua ofisi ya TPA Lubumbashi
SERIKALI ya Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo (DRC), imesifu hatua ya Tanzania kufungua ofisi ndogo ya mawasiliano ya Mamlaka ya Bandari (TPA), kwamba ni ya kizalendo na inayothibitisha uhusiano mzuri uliopo baina ya nchi hizo.
9 years ago
Bongo513 Sep
Ifahamu sababu ya Facebook kufungua ofisi zake Afrika
11 years ago
Habarileo23 Jun
NACTE yafungua ofisi tano za kanda
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kupitia Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi ( NACTE), imefungua ofisi tano za kanda, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa wizara ya kuwekeza katika eneo la usimamizi wa sekta ya elimu nchini kuongeza ufanisi na kufikia Matokeo Makubwa Sasa (BRN).
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nvZOifQExRY/UvvVaGRulFI/AAAAAAAFMq0/KB0pUVmsFUk/s72-c/MMG20566.jpg)
MAKAMU WA RAIS,DKT. BILAL AWASILI JIJINI MWANZA JIONI YA LEO,KUFUNGUA KONGAMANO LA UWEKEZAJI KANDA YA ZIWA KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-nvZOifQExRY/UvvVaGRulFI/AAAAAAAFMq0/KB0pUVmsFUk/s1600/MMG20566.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-B6CBjujsJqg/UvvVbdKbUeI/AAAAAAAFMrE/SnGp-dP5sNI/s1600/MMG20575.jpg)
10 years ago
Vijimambo24 Jul
TTCL YAUNGANISHA OFISI NA KANDA ZA MSD KWENYE MKONGO
![Ofisa Mkuu wa Masoko na Mauzo wa kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Peter Ngota akionesha orodha ya wateja wanaopata huduma ya mkongo toka kampuni hiyo kwenye tableti yake, alipokuwa akizungumza kwa niaba ya Ofisa Mtendaji Mkuu wa TTCL kwenye hafla ya kukabidhi mradi wa huduma ya mkongo kwa Bohari ya Dawa nchini (MSD) leo jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0131.jpg)
![Mkurugenzi Mkuu wa MSD, Cosmas Mwaifwani akizungumza katika hafla ya makabidhiano ya mradi wa huduma za mkongo kwa ofisi za Bohari ya Dawa Tanzania inayotolewa na kampuni ya TTCL. Ofisi za Kanda za MSD zimeunganishwa na Makao Makuu na huduma za mkongo wa mawasiliano ili kufanya kazi zake kwa haraka na ufanisi zaidi.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0137.jpg)