Mr Blue aupiga kibuti ubahili, awekeza kwa mara ya kwanza kwenye video yake ‘Baki Nami’
Mr Blue Kabayser ana video nyingi alizowahi kufanya lakini amekiri kuwa video mpya ‘Baki Nami’ ndio ya kwanza kuwekeza pesa yake mwenyewe.
Blue amesema kuwa kazi zote zilizopita amekuwa akifanya kwa ‘kuunga unga’ na kusaidiwa na washikaji zake bila yeye kutoa chochote, kitu ambacho kilisababisha asiwe anapata kazi bora.
Ameongeza kuwa ‘Baki na Mimi’ ndiyo video iliyomsumbua kukamilisha visa vyote alivyoviimba, sehemu ya gharama ikiwa ni kukodisha limousine yenye gharama ya shilingi milioni...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo515 Dec
Video: Mr Blue – Baki na Mimi
![blue-2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/blue-2-300x194.jpg)
Msanii wa bongo fleva Mr Blue ameachia video mpya ya single yake inaitwa “Baki na mimi” Video imeongozwa na Kwetu Studios.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Global Publishers15 Dec
9 years ago
Bongo528 Sep
Video: Avril asimulia kwa mara ya kwanza jinsi alivyoanguka kwenye swimming pool wakati akitumbuiza Dar
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Mabibi na Mabwana Mr Blue katuletea hii video mpya ‘Baki na Mimi’ hautajutia dakika zako..
Jina lake ni Herry Samir lakini kwenye hit songs ni jina la Mr Blue ndio lipo, sasa time hii ametusogezea video ya single yake mpya inaitwa ‘Baki na mimi’ na video ni production ya Kwetu Studios, ukishaitazama sio mbaya ukiacha comment yako akipita Blue mwenyewe aione Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa […]
The post Mabibi na Mabwana Mr Blue katuletea hii video mpya ‘Baki na Mimi’ hautajutia dakika zako.. appeared first on...
9 years ago
MillardAyo27 Dec
Yaliyomkuta Harmonize baada ya kupanda kwenye stage mara ya kwanza Dec 25…(+Video)
Dec 25 2015 Msanii Harmonize kutokea Wasafi Classic Baby (WCB) aliandika historia nyingine katika maisha yake ya muziki, ambapo kwa mara ya kwanza alipanda kwenye stage toka aachie hit song ya ‘Aiyola’ Shangwe lilifanyika Tanga, Tanzania. Licha ya yote, kuna mambo yalitokea na hakuyapenda. Unaweza kubonyeza Play hapa chini kuitazama video yote. Unataka kutumiwa MSG […]
The post Yaliyomkuta Harmonize baada ya kupanda kwenye stage mara ya kwanza Dec 25…(+Video) appeared first on...
9 years ago
Bongo Movies14 Nov
Kwa Mara ya Kwanza Wastara Aonyesha Miguu Yake na Kuandika Mazito
Kwa mara ya kwanza toka nimekatwa mguu miaka 6 iliyopita leo nimechukua nafasi hii kupost hii pic kuondoa maswali mengi yaliyopo vichwani mwa watu
Nipo kama unavyoiona pic
Huyo ndio wastara nilivyo hakuna kilichopungua zaidi ya hicho unachokiona
Kuwa mlemavu ni kitu kingine tofauti ukiwa mzima hivyo kusikia maumivu na kuumwa mguu ni kitu cha kawaida
Sasa nipo nairobi kimatibabu na tatizo ni operetion ya kwanza nilikosewa ndio sababu ya maumivu ya mara kwa mara madaktari wameshajua nini cha...
10 years ago
Bongo531 Jan
Picha: Zari ndani ya Dar, athibitisha kwa mara ya kwanza kwa kauli yake kuwa mpenzi wa Diamond