Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtihani wa kwanza Somalia katika miaka 25

Wanafunzi nchini Somalia wanafanya mtihani wao wa kwanza katika kipindi cha miaka 25 tangu kuporomoka kwa serikali ya pamoja

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Myanmar: Uchaguzi wa kwanza katika miaka 25

Uchaguzi huu ndio unaotarajiwa kutamatisha utawala wa kijeshi uluodumu kwa nusu karne.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mkutano wa kwanza katika miaka 30 Korea Kaskazini

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un, anaongoza mkutano wa kwanza kabisa wa chama tawala cha wafanyikazi baada ya miaka 30.

 

9 years ago

Raia Mwema

Ni mtihani wa kwanza kwa Chadema

BAADA ya kuruhusu ujenzi holela kuendelea kwa zaidi ya miongo miwili, Jiji la Mbeya sasa kuanza u

Felix Mwakyembe

 

10 years ago

StarTV

Mbeya wafanya vibaya mtihani daraza la saba kwa miaka minne mfululizo.

Na Amina Saidi,

Mbeya. 

 

 

Mkoa wa Mbeya umeendelea kufanya vibaya katika mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi kwa miaka minne mfululizo ambapo mwaka huu imekuwa na ufaulu wa asilimia 47 chini ya Mpango wa Taifa wa Tekeleza kwa Matokeo Makubwa Sasa BRN.

 

Kutokana na ufaulu mbaya, mkoa huo umekuwa miongoni mwa mikoa tisa nchini iliyotakiwa kueleza sababu za msingi za ufaulu duni pamoja na kuweka mikakati ya kuongeza ufaulu kwa wanafunzi wake.

 

Mikoa mingine iliyoingia katika janga...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mechi kuonyeshwa runingani mara ya kwanza Somalia

Mechi ya mpira wa kandanda ya klabu za nyumbani itapeperushwa moja kwa moja kupitia runinga kwa mara ya kwanza katika historia ya Somalia leo.

 

10 years ago

Mtanzania

Azam, Yanga katika mtihani mwingine VLP

yangAzamABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom, Azam FC na Yanga leo wanatarajia kuendeleza vita ya ubingwa kwenye ligi hiyo.

Yanga watakuwa kwenye Uwanja wa Sokoine, jijini Mbeya kuvaana na Tanzania Prisons ya huko, huku Azam ikipepetana na Ruvu Shooting katika Uwanja wa Mabatini, Pwani.

Kitu kinachonogesha mechi hizo ni vita ya ubingwa iliyopo baina ya Yanga na Azam, ambazo zote zinakabana koo kileleni zikiwa na pointi 25.

Lakini Azam ipo kileleni kutokana na...

 

5 years ago

BBCSwahili

Watoto wenye miaka mitatu na minne wabakwa Somalia

Binamu wawili walivamiwa na wabakaji wakati wakirejea kutoka shule na sasa wanahitaji kufanyiwa upasuaji mkubwa.

 

9 years ago

Dewji Blog

Shule ya msingi Green Hill ya jijini Dar yafanya vizuri katika mtihani wa darasa la saba

Na:George Binagi-GB Pazzo

Shule ya Msingi Green Hill iliyopo Ilala Mkoani Dar es salaam imekuwa miongoni mwa shule bora zilizofanya vizuri katika mtihani wa darasa la saba, uliofanyika mwezi Septemba mwaka huu kote nchini.

Katika Matokeo yaliyotangazwa juzi na Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani nchini NECTA Dk.Charles Msonde, ufaulu wa Kitaifa mwaka huu umepanda kwa asilimia 10.85 kutoka asilimia 56.99 za mwaka jana, ambapo wanafunzi waliofaulu ni 518,034 kati ya 775,273 waliosahiliwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani