Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Julio: Tunakwenda Fifa kama alivyofanya Malinzi

Kocha Msaidizi wa Simba, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’.
Na Sweetbert Lukonge
MAMBO bado ni magumu mkoani Shinyanga, uongozi wa timu ya soka ya Mwadui ya mkoani humo, umedai kuwa upo tayari kutumia mamilioni ya fedha mpaka makao makuu ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) ili kuhakikisha unapata haki yake ya kushiriki ligi kuu msimu ujao, kama Rais wa TFF, Jamal Malinzi alivyofanya wakati anataka uongozi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MALINZI AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA FIFA

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF jana ijumaa alipokea ugeni wa makamu wa Rais wa FIFA ambaye pia ni mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu nchini Jordan, HRH Prince Ali Bin Al Hussein. (picha ya Rais Jamal Malinzi na HRH Ali imeambatanishwa)
Jioni Prince Ali Bin AliHussein na ujumbe wake walifanya mazungumzo na Rais wa Shrikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF, Jamal Malinzi  katika hoteli ya Hyatt Regency (zamani Kilimanjaro Kempsinki) iliyopo jijini Dar es salaam.
Katika mazungumzo hayo,...

 

9 years ago

Michuzi

MALINZI AFUNGA KOZI YA WAAMUZI WA FIFA

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Jamal Malinzi leo amefunga kozi ya waamuzi chipukizi wasiokuwa na beji za FIFA katika hoteli ya Holiday, ambapo jumla ya waamuzi 30 kutoka nchi 28 barani Afrika walihudhuria.Akiongea wakati wa kufunga kozi hiyo Malinzi alitoa wito kwa wahitimu wajikite kwenye maadili kwa kuzingatia mafunzo waliyopata ili katika kipindi kifupi wote wapate beji za FIFA na waonekane kweye mashindano makubwa kama fainali za AFCON na mashindano ya Kombe la...

 

9 years ago

Bongo5

Julio adai hatokata tamaa na muziki hata kama haumlipi

Mshiriki wa BBA Julio

Staa wa muziki na mshiriki wa shindano la Big Brother Africa 2012, Julio Batalia, amesema hategemei muziki umlipe kwani bado yupo kwenye hatua za kujitangaza.

Julio

Julio ameiambia Bongo5, kuwa ingawa muziki umekuwa wa gharama kubwa katika maandalizi, hana budi kuendelea kufanya hivyo hivyo ili kujitenga.

“Mimi naamini muziki ni process ya muda mrefu,” amesema. “Kwahiyo mafanikio huenda yakachelewa lakini yatakuja tu. Kwahiyo mimi nipo katika stage hiyo sijali sana muziki unilipe kwa sasa kwa...

 

11 years ago

GPL

RAIS WA TFF JAMAL MALINZI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA FIFA USWISS

Rais wa Shirikisho la Soka Ulimwenguni (FIFA), Sepp Blatter (kushoto) akisalimiana na Rais wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Jamal Malinzi wakati alipomkaribisha kwenye Makao Makuu ya Shirikisho hilo, Uswiss. Kulia ni Katibu Mkuu wa FIFA, Bw. Jerome Valcke.

 

11 years ago

Michuzi

MALINZI ATUMA RAMBIRAMBI FIFA KUOMBOLEZA KIFO CHA MAKAMU WA BLATTER

HAYATI JULIO GRONDORA
Rais wa Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amemtumia salamu za rambirambi Rais wa Shrikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (Fifa), Sepp Blatter kutokana na kifo cha makamu wake mwandamizi Julio Grondora.Amesema yeye binafsi na jamii ya mpira wa miguu Tanzania kwa ujumla wanaomboleza msiba wa Grondora ambaye pia alikuwa Rais wa Chama cha Mpira wa Miguu cha Argentina (AFA).Ameongeza kuwa Grondora alikuwa mtumishi mwandamizi wa mpira wa miguu, kwani alijitoa katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Blatter:Sikujiuzulu kama rais wa FIFA

Rais wa shirikisho la soka duniani Sepp Blatter amekariri kuwa hakujiuzulu kama rais wa shirikisho hilo.

 

10 years ago

Habarileo

‘Tunakwenda vizuri BVR’

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, Jenista MhagamaSERIKALI imesema Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani uliopangwa kufanyika Oktoba mwaka huu hautaahirishwa na kuvionya vyama vya upinzani visitumie suala la uandikishaji wa wananchi katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kuwatia hofu kwamba hautafanyika na kutumia kama mtaji wa kusababisha vurugu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani