Julio: Tunakwenda Fifa kama alivyofanya Malinzi
![](http://api.ning.com:80/files/Q4Epy2fSOltfZh*3iem6vp19d9pCfkJZNNHTit2s194cY*koyenNtDPpTtOnITkcV31*FndG75vz2JtOgJdCnlwJXk2cUsC9/julio.jpg?width=650)
Kocha Msaidizi wa Simba, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’. Na Sweetbert Lukonge MAMBO bado ni magumu mkoani Shinyanga, uongozi wa timu ya soka ya Mwadui ya mkoani humo, umedai kuwa upo tayari kutumia mamilioni ya fedha mpaka makao makuu ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) ili kuhakikisha unapata haki yake ya kushiriki ligi kuu msimu ujao, kama Rais wa TFF, Jamal Malinzi alivyofanya wakati anataka uongozi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-59bdIOUho8E/VSBGK1HSNGI/AAAAAAAHPUA/Nv7IaCU6EFw/s72-c/unnamed%2B(44).jpg)
MALINZI AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA FIFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-59bdIOUho8E/VSBGK1HSNGI/AAAAAAAHPUA/Nv7IaCU6EFw/s1600/unnamed%2B(44).jpg)
Jioni Prince Ali Bin AliHussein na ujumbe wake walifanya mazungumzo na Rais wa Shrikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF, Jamal Malinzi katika hoteli ya Hyatt Regency (zamani Kilimanjaro Kempsinki) iliyopo jijini Dar es salaam.
Katika mazungumzo hayo,...
9 years ago
Michuzi01 Oct
MALINZI AFUNGA KOZI YA WAAMUZI WA FIFA
![](http://tff.or.tz/images/refereecoz.png)
10 years ago
Michuzi30 Mar
9 years ago
Bongo521 Dec
Julio adai hatokata tamaa na muziki hata kama haumlipi
![Mshiriki wa BBA Julio](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/05/Mshiriki-wa-BBA-Julio-200x133.jpg)
Staa wa muziki na mshiriki wa shindano la Big Brother Africa 2012, Julio Batalia, amesema hategemei muziki umlipe kwani bado yupo kwenye hatua za kujitangaza.
Julio ameiambia Bongo5, kuwa ingawa muziki umekuwa wa gharama kubwa katika maandalizi, hana budi kuendelea kufanya hivyo hivyo ili kujitenga.
“Mimi naamini muziki ni process ya muda mrefu,” amesema. “Kwahiyo mafanikio huenda yakachelewa lakini yatakuja tu. Kwahiyo mimi nipo katika stage hiyo sijali sana muziki unilipe kwa sasa kwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yv5LJqWpO0qh4c4EO7yqYLO*YjMidfUeoPxVSnMviuoJ0dZ-Q*sQeZP4LR2wA3ZNEMd4XB-RkfNXb3ulrjul8qK*lYTE2d9I/1MALINZI.jpg)
RAIS WA TFF JAMAL MALINZI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA FIFA USWISS
11 years ago
Michuzi05 Aug
MALINZI ATUMA RAMBIRAMBI FIFA KUOMBOLEZA KIFO CHA MAKAMU WA BLATTER
![](https://2.bp.blogspot.com/-at26zELvqw4/U-DE635YhGI/AAAAAAAAs9w/W0ckErzWEzU/s1600/julio-grondona.jpg)
Rais wa Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amemtumia salamu za rambirambi Rais wa Shrikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (Fifa), Sepp Blatter kutokana na kifo cha makamu wake mwandamizi Julio Grondora.Amesema yeye binafsi na jamii ya mpira wa miguu Tanzania kwa ujumla wanaomboleza msiba wa Grondora ambaye pia alikuwa Rais wa Chama cha Mpira wa Miguu cha Argentina (AFA).Ameongeza kuwa Grondora alikuwa mtumishi mwandamizi wa mpira wa miguu, kwani alijitoa katika...
10 years ago
BBCSwahili27 Jun
Blatter:Sikujiuzulu kama rais wa FIFA
10 years ago
Habarileo23 Jun
‘Tunakwenda vizuri BVR’
SERIKALI imesema Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani uliopangwa kufanyika Oktoba mwaka huu hautaahirishwa na kuvionya vyama vya upinzani visitumie suala la uandikishaji wa wananchi katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kuwatia hofu kwamba hautafanyika na kutumia kama mtaji wa kusababisha vurugu.