Blatter:Sikujiuzulu kama rais wa FIFA
Rais wa shirikisho la soka duniani Sepp Blatter amekariri kuwa hakujiuzulu kama rais wa shirikisho hilo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Rais wa FIFA Sepp Blatter kujiuzulu
Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter amesema kuwa atajiuzulu kama rais wa shirikisho hilo kufuatia kashfa ya ufisadi.
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Makamu wa Rais wa Fifa, Blatter kuchuana
Makamu wa Rais wa Fifa Ali bin Al Hussein atachuwana na bosi wake Sepp Blatter kuwania urais Fifa
9 years ago
BBCSwahili25 Sep
Rais wa Fifa Sepp Blatter achunguzwa
Rais Fifa Sepp Blatter amehojiwa na afisi yake kupekuliwa na viongozi wa mashtaka nchini Uswizi.
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Mimi bado rais halali Fifa, adai Blatter
Siku moja baada ya kufungiwa miaka minane, aliyekuwa rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter ameibuka na kueleza kuwa yeye bado ni kiongozi wa shirikisho hilo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuAmb0laZGkG4MQlYjjLfENFtvv94vtH1CV5jlOIYudSl*srVuSUhDh9RRxiZMF*aWUx40uDWP3vp19RO24rns35/sepp.jpg?width=650)
BLATTER AJIUZULU FIFA
Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter. Zurich, Uswis
RAIS wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter, jana alijiuzulu cheo chake kutokana na kashfa ya rushwa iliyolikumba shirikisho hilo.Blatter alitangaza kujiuzulu jana jioni zikiwa ni siku nne tangu alipochaguliwa kwa mara ya tano kuiongoza Fifa. Alitangaza uamuzi huo kwenye makao makuu wa Fifa mjini Zurich akiwa ametumikia cheo cha urais...
10 years ago
Mwananchi03 Jun
Blatter kujiuzulu Fifa
Zurich, Uswisi. Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), Sepp Blatter ametangaza kuwa atajiuzulu nafasi yake hiyo kutokana na kashfa ya rushwa iliyolikumba shirikisho hilo.
10 years ago
BBCSwahili29 May
Blatter anawania Urais wa FIFA
Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA, Sepp Blatter,anagombea kiti cha urais katika uchaguzi wa shirikisho hilo unaotarajiwa kufanyika leo huko Zurich Uswisi.
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/A383/production/_85995814_seppblatter.jpg)
Blatter appeals against Fifa ban
Fifa president Sepp Blatter appeals against the decision to ban him while corruption allegations are investigated.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania