Makamu wa Rais wa Fifa, Blatter kuchuana
Makamu wa Rais wa Fifa Ali bin Al Hussein atachuwana na bosi wake Sepp Blatter kuwania urais Fifa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi05 Aug
MALINZI ATUMA RAMBIRAMBI FIFA KUOMBOLEZA KIFO CHA MAKAMU WA BLATTER
![](https://2.bp.blogspot.com/-at26zELvqw4/U-DE635YhGI/AAAAAAAAs9w/W0ckErzWEzU/s1600/julio-grondona.jpg)
Rais wa Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amemtumia salamu za rambirambi Rais wa Shrikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (Fifa), Sepp Blatter kutokana na kifo cha makamu wake mwandamizi Julio Grondora.Amesema yeye binafsi na jamii ya mpira wa miguu Tanzania kwa ujumla wanaomboleza msiba wa Grondora ambaye pia alikuwa Rais wa Chama cha Mpira wa Miguu cha Argentina (AFA).Ameongeza kuwa Grondora alikuwa mtumishi mwandamizi wa mpira wa miguu, kwani alijitoa katika...
10 years ago
BBCSwahili27 Jun
Blatter:Sikujiuzulu kama rais wa FIFA
Rais wa shirikisho la soka duniani Sepp Blatter amekariri kuwa hakujiuzulu kama rais wa shirikisho hilo.
9 years ago
BBCSwahili25 Sep
Rais wa Fifa Sepp Blatter achunguzwa
Rais Fifa Sepp Blatter amehojiwa na afisi yake kupekuliwa na viongozi wa mashtaka nchini Uswizi.
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Rais wa FIFA Sepp Blatter kujiuzulu
Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter amesema kuwa atajiuzulu kama rais wa shirikisho hilo kufuatia kashfa ya ufisadi.
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Mimi bado rais halali Fifa, adai Blatter
Siku moja baada ya kufungiwa miaka minane, aliyekuwa rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter ameibuka na kueleza kuwa yeye bado ni kiongozi wa shirikisho hilo.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-59bdIOUho8E/VSBGK1HSNGI/AAAAAAAHPUA/Nv7IaCU6EFw/s72-c/unnamed%2B(44).jpg)
MALINZI AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA FIFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-59bdIOUho8E/VSBGK1HSNGI/AAAAAAAHPUA/Nv7IaCU6EFw/s1600/unnamed%2B(44).jpg)
Jioni Prince Ali Bin AliHussein na ujumbe wake walifanya mazungumzo na Rais wa Shrikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF, Jamal Malinzi katika hoteli ya Hyatt Regency (zamani Kilimanjaro Kempsinki) iliyopo jijini Dar es salaam.
Katika mazungumzo hayo,...
10 years ago
Mwananchi03 Jun
Blatter kujiuzulu Fifa
Zurich, Uswisi. Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), Sepp Blatter ametangaza kuwa atajiuzulu nafasi yake hiyo kutokana na kashfa ya rushwa iliyolikumba shirikisho hilo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuAmb0laZGkG4MQlYjjLfENFtvv94vtH1CV5jlOIYudSl*srVuSUhDh9RRxiZMF*aWUx40uDWP3vp19RO24rns35/sepp.jpg?width=650)
BLATTER AJIUZULU FIFA
Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter. Zurich, Uswis
RAIS wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Sepp Blatter, jana alijiuzulu cheo chake kutokana na kashfa ya rushwa iliyolikumba shirikisho hilo.Blatter alitangaza kujiuzulu jana jioni zikiwa ni siku nne tangu alipochaguliwa kwa mara ya tano kuiongoza Fifa. Alitangaza uamuzi huo kwenye makao makuu wa Fifa mjini Zurich akiwa ametumikia cheo cha urais...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania