‘Tunakwenda vizuri BVR’
SERIKALI imesema Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani uliopangwa kufanyika Oktoba mwaka huu hautaahirishwa na kuvionya vyama vya upinzani visitumie suala la uandikishaji wa wananchi katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kuwatia hofu kwamba hautafanyika na kutumia kama mtaji wa kusababisha vurugu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema02 Sep
Tunakwenda Congo kushindana au kushiriki?
KUNA wakati nawaza mambo kwa kina lakini majibu sipati.
Mwandishi Wetu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q4Epy2fSOltfZh*3iem6vp19d9pCfkJZNNHTit2s194cY*koyenNtDPpTtOnITkcV31*FndG75vz2JtOgJdCnlwJXk2cUsC9/julio.jpg?width=650)
Julio: Tunakwenda Fifa kama alivyofanya Malinzi
Kocha Msaidizi wa Simba, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’.
Na Sweetbert Lukonge
MAMBO bado ni magumu mkoani Shinyanga, uongozi wa timu ya soka ya Mwadui ya mkoani humo, umedai kuwa upo tayari kutumia mamilioni ya fedha mpaka makao makuu ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) ili kuhakikisha unapata haki yake ya kushiriki ligi kuu msimu ujao, kama Rais wa TFF, Jamal Malinzi alivyofanya wakati anataka uongozi...
9 years ago
Mwananchi07 Sep
NATOA HOJA :Tunakwenda Brazaville kwa ajili ya kupata posho
Septemba 4 hadi 19 mwaka huu, mataifa ya Afrika, yanakusanyika Congo, Brazaville kwa ajili ya Michezo ya Afrika.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania