Tunakwenda Congo kushindana au kushiriki?
KUNA wakati nawaza mambo kwa kina lakini majibu sipati.
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLTANZANIA INAENDA KUSHIRIKI, SI KUSHINDANA
10 years ago
Habarileo23 Jun
‘Tunakwenda vizuri BVR’
SERIKALI imesema Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani uliopangwa kufanyika Oktoba mwaka huu hautaahirishwa na kuvionya vyama vya upinzani visitumie suala la uandikishaji wa wananchi katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kuwatia hofu kwamba hautafanyika na kutumia kama mtaji wa kusababisha vurugu.
11 years ago
GPLJulio: Tunakwenda Fifa kama alivyofanya Malinzi
9 years ago
Mwananchi07 Sep
NATOA HOJA :Tunakwenda Brazaville kwa ajili ya kupata posho
10 years ago
BBCSwahili02 May
Bolt kushindana na Gutlin wa Marekani
9 years ago
Bongo Movies21 Aug
Gabo:Sijaona Muigizaji wa Kushindana Naye
Msanii wa filamu aliyejizolea umaarufu miaka ya hivi karibuni, Salim Ahmed maarufu kwa jina la Gabo amesema haoni msanii anayempa changamato.
Akizungumza kwenye kipindi cha Take One cha Clouds TV, Gabo alisema wengi wamekuwa wakimwambia anaringa kutokana na kuwaambia ukweli.
“Kwa hapa Tanzania sijui ndio maana wanasema mimi naringa,” alisema Gabo alipoulizwa ni msanii gani anayempa changamoto.
“Nyuma alikuwa Single Mtambalike, sasa hivi sijaona wa kumtazama na kunipa changamoto tuweze...
5 years ago
MichuziKLABU TISA KUSHINDANA MASHINDANO YA TALISS-IST
Muogeleaji Singko Steiner wa Taliss-IST akishindana
Dar es Salaam. Jumla ya klabu tisa zitashiriki katika mashindano ya kuogelea ya Taliss-IST yaliyopangwa kufanyika Jumamosi na Jumapili kwenye bwawa la kuogelea la Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (IST-Masaki) jijini.
Klabu hizo zitatoa jumla ya waogeleaji 228 ambao watashindana katika staili tano pamoja na relai kwa mujibu wa Meneja wa taliss-IST- Hadija Shebe.
Hadija alizitaja klabu hizo na ida ya waogeleaji wake kwenye mabano kuwa ni ...
9 years ago
Mtanzania23 Nov
Frida wa BSS: Mazingira yanakwamisha wasichana kushindana
MSHINDI wa tatu katika shindano la Bongo Star Search (BSS) 2015, Frida Aman, amesema mazingira magumu na tamaduni kandamizi ndizo zinazochangia kumkandamiza msichana hasiweze kushindana na wanaume katika kila jambo ikiwemo muziki.
Alisema anaamini mazingira wanayopitia wasichana yangekuwa yanapitiwa na wavulana hali za ushindani zingekuwa sawa, lakini wasichana wengi wanaonekana kushindwa kwenda na kasi ya wavulana kwa kuwa tu mazingira yao yanatofautiana sana.
“Mimi naweza kutaka kujifunza...