KLABU TISA KUSHINDANA MASHINDANO YA TALISS-IST
![](https://1.bp.blogspot.com/-0mRuQzDWRp0/XkxBxHslP3I/AAAAAAALeGI/kprwfUEstoc96BRM-PlBsTsUNlNdqdBXwCLcBGAsYHQ/s72-c/3-1024x652.jpeg)
Muogeleaji Singko Steiner wa Taliss-IST akishindana
Dar es Salaam. Jumla ya klabu tisa zitashiriki katika mashindano ya kuogelea ya Taliss-IST yaliyopangwa kufanyika Jumamosi na Jumapili kwenye bwawa la kuogelea la Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (IST-Masaki) jijini.
Klabu hizo zitatoa jumla ya waogeleaji 228 ambao watashindana katika staili tano pamoja na relai kwa mujibu wa Meneja wa taliss-IST- Hadija Shebe.
Hadija alizitaja klabu hizo na ida ya waogeleaji wake kwenye mabano kuwa ni ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oeDWczGji-w/Xk_Rai2Uo8I/AAAAAAALeq4/5lbwVwBONUwnzdYB-sXAQ1MoUWxmWSoigCLcBGAsYHQ/s72-c/2-36.jpg)
MASHINDANO YA KUOGELEA LA TALISS-IST YASHIKA KASI
![](https://1.bp.blogspot.com/-oeDWczGji-w/Xk_Rai2Uo8I/AAAAAAALeq4/5lbwVwBONUwnzdYB-sXAQ1MoUWxmWSoigCLcBGAsYHQ/s640/2-36.jpg)
…………………………………………
Klabu mbalimbali za mikoani zimewasili jijini Dar es Salaam tayari kupambana katika mashindano maarufu ya kuogelea ya Taliss-IST yaliyopangwa kufanyika Jumamosi na Jumapili kwenye bwawa la kuogelea la Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (IST-Masaki).
Waogeleaji kutoka Mwanza, Kilimanjaro, Arusha, Zanzibar na Morogoro wamekwisha wasili tayari kwa mashindano hayo yaliyodhaminiwa na Jubilee...
5 years ago
The Citizen Daily20 Feb
Over one hundred disciplines to spice up Taliss-IST swimming championships in Tanzania
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
BE FORWARD yakabidhi gari Toyota IST kwa mshindi jijini Arusha katika Promosheni ya Jishindie IST
Kushoto ni Meneja Masoko wa Kampuni ya Be Forward Geoffrey Mibaz akimkabidhi mshindi ambaye ni Mwalimu wa Shule ya St. Jude Mkoani Arusha aliyeambatana na familia yake, Rasul Mngazija gari aina ya Toyota IST yenye thamani ya Sh. Milioni 12 katika promosheni ya jishindie IST iliyofanyika jana jijini Arusha iliyoendeshwa na kampuni ya uuzaji magari ya Be Forward Tawi la Tanzania
Muonekano wa Gari aina ya Toyota IST yenye thamani ya Sh. Milioni 12
Mshindi Rasul Mngazija akiwa na mkewe...
9 years ago
Michuzi07 Dec
KAMPUNI YA BE FORWARD YAKABIDHI GARI AINA YA TOYOTA IST KWA MSHINDI JIJINI ARUSHA KATIKA PROMOSHENI YA JISHINDIE IST
![DSC00871](https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/12/dsc00871.jpg?w=627)
![DSC00877](https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/12/dsc00877.jpg?w=627)
![DSC00875](https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/12/dsc00875.jpg?w=627)
11 years ago
Dewji Blog25 May
Mashindano ya DATS yazinduliwa mkoani Morogoro, mikoa tisa kushiriki
Mwenyekiti wa chama cha Dats Tanzania Gesase Waigama akiongea wakati wa ufunguzi wa mashindano ya mchezo huo unaoshirikisha mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma, Mwanza, Mbeya, Kilimanjaro, Kagera, Arusha na wenyeji wao Morogogoro ambapo katika mashindano hayo yaliodhaminiwa na bia aina ya Safari mshindi wa kwanza atatoka na kitita cha shilingi 600,000 hapo kesho.
Mwenyekiti huyo wa Dats akizindua mchezo huo ili kuruhusu pambano kuanza rasmi.
![washiriki nyingine](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/washiriki-nyingine.jpg)
Baadhi ya washiriki wa mchezo huo wakifanya...
11 years ago
MichuziMASHINDANO YA MCHEZO WA DATS YAZINDULIWA MKOANI MOROGORO KITAIFA, MIKOA TISA KUSHIRIKI
Mwenyekiti wa chama cha Dats Tanzania Gesase Waigama akiongea wakati wa ufunguzi wa mashindano ya mchazo huo unaoshirikisha mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma, Mwanza, Mbeya, Kilimanjaro, Kagera, Arusha na wenyeji wao Morogogoro ambapo katika mashindano hayo yaliodhaminiwa na bia aina ya Safari mshindi wa kwanza atatoka na kitita cha shilingi 600,000 hapo kesho.
Baadhi ya washiriki wa mchezo huo wakifanya mazoezi kabla ya kuanza kwa shindano hilo linalofanyika katika ukumbi wa Magunila ...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-W0frWgD6D3I/U8FenW3EwUI/AAAAAAAF1kw/06YRAeX-kEI/s72-c/DSC_0915.jpg)
Mashindano ya Klabu Bingwa ya Netiboli nchini yafunguliwa katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-W0frWgD6D3I/U8FenW3EwUI/AAAAAAAF1kw/06YRAeX-kEI/s1600/DSC_0915.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mnwo3q3TNIg/U8FenaWtgXI/AAAAAAAF1k0/csfWKM7r3po/s1600/DSC_0943.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9ZQDW7GPOh0/U8FeorpDdFI/AAAAAAAF1k8/Trlq6xA1pts/s1600/DSC_0946.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tTLTyEOFwe8/U8FepNMPtHI/AAAAAAAF1lI/B9VkqKSskck/s1600/DSC_0954.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NTom5OTvhEI/U8Fept3vfRI/AAAAAAAF1lM/jz5MtNYiLI4/s1600/DSC_0955.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-COFMdJTJb1U/UxzFjb83EaI/AAAAAAAFSe0/q03KNYsjims/s72-c/MMG25630.jpg)
News Flash: Yanga yatolewa kiume mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika,yafungwa na Al Ahly kwa mikwaju ya penati 4-3
![](http://1.bp.blogspot.com/-COFMdJTJb1U/UxzFjb83EaI/AAAAAAAFSe0/q03KNYsjims/s1600/MMG25630.jpg)