MASHINDANO YA KUOGELEA LA TALISS-IST YASHIKA KASI
Nyota wa kuogelea, Franco Du Plessis akionyesha uwezo wake katika mashindano ya kuogelea
…………………………………………
Klabu mbalimbali za mikoani zimewasili jijini Dar es Salaam tayari kupambana katika mashindano maarufu ya kuogelea ya Taliss-IST yaliyopangwa kufanyika Jumamosi na Jumapili kwenye bwawa la kuogelea la Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (IST-Masaki).
Waogeleaji kutoka Mwanza, Kilimanjaro, Arusha, Zanzibar na Morogoro wamekwisha wasili tayari kwa mashindano hayo yaliyodhaminiwa na Jubilee...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziKLABU TISA KUSHINDANA MASHINDANO YA TALISS-IST
Muogeleaji Singko Steiner wa Taliss-IST akishindana
Dar es Salaam. Jumla ya klabu tisa zitashiriki katika mashindano ya kuogelea ya Taliss-IST yaliyopangwa kufanyika Jumamosi na Jumapili kwenye bwawa la kuogelea la Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (IST-Masaki) jijini.
Klabu hizo zitatoa jumla ya waogeleaji 228 ambao watashindana katika staili tano pamoja na relai kwa mujibu wa Meneja wa taliss-IST- Hadija Shebe.
Hadija alizitaja klabu hizo na ida ya waogeleaji wake kwenye mabano kuwa ni ...
10 years ago
Michuzi07 Sep
MASHINDANO ya ngumi kupata mabondia 10 bora mkoa wa Dar es salaam yashika kasi
Bondia Hamad Mbonde wa Magereza kushoto akipiga ngumi bila matumaini yoyoyo na mwenzake Said Kassimu wa Amana akimpiga konde la kulia wakati wa mashindano ya kumi...
5 years ago
The Citizen Daily20 Feb
Over one hundred disciplines to spice up Taliss-IST swimming championships in Tanzania
11 years ago
BBCSwahili13 Feb
Mapigano yashika kasi Syria
9 years ago
Habarileo19 Nov
Bomoabomoa Dar yashika kasi
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi wakishirikiana na Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, jana iliendesha bomoabomoa ya nyumba zilizojengwa bila kufuata taratibu za ujenzi katika Manispaa hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima12 Jan
Maandalizi TFCA 2013 yashika kasi
MAANDALIZI ya hafla ya utoaji tuzo kwa makocha wa soka Tanzania ‘Tanzania Football Coaches Awards kwa mwaka jana (TFCA 2013), zinazotarajiwa kutolewa mapema Machi 2014 jijini Dar es Salaam, yanaendelea...
11 years ago
BBCSwahili03 Mar
Maandamano yashika kasi nchini Venezuela
10 years ago
Vijimambo02 Jan
Vita ya urais yashika kasi mtandaoni
11 years ago
Habarileo15 Jan
Mauaji ya watuhumiwa yashika kasi Mbeya
UTAMADUNI mbovu wa kujichukulia sheria mikononi umezidi kushika kasi mkoani Mbeya baada ya watu wawili kuuawa juzi katika matukio mawili tofauti.