Over one hundred disciplines to spice up Taliss-IST swimming championships in Tanzania
Over one hundred disciplines to spice up Taliss-IST swimming championships in Tanzania The Citizen Daily
The Citizen Daily
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0mRuQzDWRp0/XkxBxHslP3I/AAAAAAALeGI/kprwfUEstoc96BRM-PlBsTsUNlNdqdBXwCLcBGAsYHQ/s72-c/3-1024x652.jpeg)
KLABU TISA KUSHINDANA MASHINDANO YA TALISS-IST
![](https://1.bp.blogspot.com/-0mRuQzDWRp0/XkxBxHslP3I/AAAAAAALeGI/kprwfUEstoc96BRM-PlBsTsUNlNdqdBXwCLcBGAsYHQ/s640/3-1024x652.jpeg)
Muogeleaji Singko Steiner wa Taliss-IST akishindana
Dar es Salaam. Jumla ya klabu tisa zitashiriki katika mashindano ya kuogelea ya Taliss-IST yaliyopangwa kufanyika Jumamosi na Jumapili kwenye bwawa la kuogelea la Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (IST-Masaki) jijini.
Klabu hizo zitatoa jumla ya waogeleaji 228 ambao watashindana katika staili tano pamoja na relai kwa mujibu wa Meneja wa taliss-IST- Hadija Shebe.
Hadija alizitaja klabu hizo na ida ya waogeleaji wake kwenye mabano kuwa ni ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oeDWczGji-w/Xk_Rai2Uo8I/AAAAAAALeq4/5lbwVwBONUwnzdYB-sXAQ1MoUWxmWSoigCLcBGAsYHQ/s72-c/2-36.jpg)
MASHINDANO YA KUOGELEA LA TALISS-IST YASHIKA KASI
![](https://1.bp.blogspot.com/-oeDWczGji-w/Xk_Rai2Uo8I/AAAAAAALeq4/5lbwVwBONUwnzdYB-sXAQ1MoUWxmWSoigCLcBGAsYHQ/s640/2-36.jpg)
…………………………………………
Klabu mbalimbali za mikoani zimewasili jijini Dar es Salaam tayari kupambana katika mashindano maarufu ya kuogelea ya Taliss-IST yaliyopangwa kufanyika Jumamosi na Jumapili kwenye bwawa la kuogelea la Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (IST-Masaki).
Waogeleaji kutoka Mwanza, Kilimanjaro, Arusha, Zanzibar na Morogoro wamekwisha wasili tayari kwa mashindano hayo yaliyodhaminiwa na Jubilee...
11 years ago
Michuzi08 Jul
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
BE FORWARD yakabidhi gari Toyota IST kwa mshindi jijini Arusha katika Promosheni ya Jishindie IST
Kushoto ni Meneja Masoko wa Kampuni ya Be Forward Geoffrey Mibaz akimkabidhi mshindi ambaye ni Mwalimu wa Shule ya St. Jude Mkoani Arusha aliyeambatana na familia yake, Rasul Mngazija gari aina ya Toyota IST yenye thamani ya Sh. Milioni 12 katika promosheni ya jishindie IST iliyofanyika jana jijini Arusha iliyoendeshwa na kampuni ya uuzaji magari ya Be Forward Tawi la Tanzania
Muonekano wa Gari aina ya Toyota IST yenye thamani ya Sh. Milioni 12
Mshindi Rasul Mngazija akiwa na mkewe...
9 years ago
Michuzi07 Dec
KAMPUNI YA BE FORWARD YAKABIDHI GARI AINA YA TOYOTA IST KWA MSHINDI JIJINI ARUSHA KATIKA PROMOSHENI YA JISHINDIE IST
![DSC00871](https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/12/dsc00871.jpg?w=627)
![DSC00877](https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/12/dsc00877.jpg?w=627)
![DSC00875](https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/12/dsc00875.jpg?w=627)
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/77597000/jpg/_77597926_77597322.jpg)
Egypt: One hundred days in office
9 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/9664/production/_87500583_bavuma.jpg)
'Bavuma hundred transcended cricket'
10 years ago
IPPmedia18 Jan
CCM disciplines Kyela council chairman
IPPmedia
The ruling Chama cha Mapinduzi (CCM) has taken a district council chairman to task over organizing the youth into causing violence last month in what appears to be the party's ongoing publicity campaign to keep its leadership in order. CCM Chairman for ...