Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Over one hundred disciplines to spice up Taliss-IST swimming championships in Tanzania

Over one hundred disciplines to spice up Taliss-IST swimming championships in Tanzania  The Citizen Daily

The Citizen Daily

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

KLABU TISA KUSHINDANA MASHINDANO YA TALISS-IST


Muogeleaji Singko Steiner wa Taliss-IST akishindana


Dar es Salaam. Jumla ya klabu tisa zitashiriki katika mashindano ya kuogelea ya Taliss-IST yaliyopangwa kufanyika Jumamosi na Jumapili kwenye bwawa la kuogelea la Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (IST-Masaki) jijini.

Klabu hizo zitatoa jumla ya waogeleaji 228 ambao watashindana katika staili tano pamoja na relai kwa mujibu wa Meneja wa taliss-IST- Hadija Shebe.

Hadija alizitaja klabu hizo na ida ya waogeleaji wake kwenye mabano kuwa ni ...

 

5 years ago

Michuzi

MASHINDANO YA KUOGELEA LA TALISS-IST YASHIKA KASI

Nyota wa kuogelea, Franco Du Plessis akionyesha uwezo wake katika mashindano ya kuogelea

…………………………………………

Klabu mbalimbali za mikoani zimewasili jijini Dar es Salaam tayari kupambana katika mashindano maarufu ya kuogelea ya Taliss-IST yaliyopangwa kufanyika Jumamosi na Jumapili kwenye bwawa la kuogelea la Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (IST-Masaki).

Waogeleaji kutoka Mwanza, Kilimanjaro, Arusha, Zanzibar na Morogoro wamekwisha wasili tayari kwa mashindano hayo yaliyodhaminiwa na Jubilee...

 

9 years ago

Dewji Blog

BE FORWARD yakabidhi gari Toyota IST kwa mshindi jijini Arusha katika Promosheni ya Jishindie IST

DSC00871

Kushoto ni Meneja Masoko wa Kampuni ya Be Forward Geoffrey Mibaz akimkabidhi mshindi ambaye ni Mwalimu wa Shule ya St. Jude Mkoani Arusha aliyeambatana na familia yake,  Rasul Mngazija gari aina ya Toyota IST yenye thamani ya Sh. Milioni 12 katika promosheni ya jishindie IST iliyofanyika jana jijini Arusha iliyoendeshwa na kampuni ya uuzaji magari ya Be Forward Tawi la Tanzania

DSC00877

Muonekano wa Gari aina ya Toyota IST yenye thamani ya Sh. Milioni 12

DSC00875

Mshindi Rasul Mngazija akiwa na mkewe...

 

9 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA BE FORWARD YAKABIDHI GARI AINA YA TOYOTA IST KWA MSHINDI JIJINI ARUSHA KATIKA PROMOSHENI YA JISHINDIE IST


DSC00871Kushoto ni Meneja Masoko wa Kampuni ya Be Forward Geoffrey Mibaz akimkabidhi mshindi ambaye ni Mwalimu wa Shule ya St. Jude Mkoani Arusha aliyeambatana na familia yake,  Rasul Mngazija gari aina ya Toyota IST yenye thamani ya Sh. Milioni 12 katika promosheni ya jishindie IST iliyofanyika jana jijini Arusha iliyoendeshwa na kampuni ya uuzaji magari ya Be Forward Tawi la TanzaniaDSC00877Muonekano wa Gari aina ya Toyota IST yenye thamani ya Sh. Milioni 12
DSC00875Mshindi Rasul Mngazija akiwa na mkewe Hazina...

 

10 years ago

BBC

Egypt: One hundred days in office

Egyptians' verdicts on President Sisi's benchmark period in office

 

9 years ago

BBC

'Bavuma hundred transcended cricket'

Temba Bavuma making the first century for South Africa by a black African is "massively symbolic", writes Jonathan Agnew.

 

10 years ago

IPPmedia

CCM disciplines Kyela council chairman


CCM disciplines Kyela council chairman
IPPmedia
The ruling Chama cha Mapinduzi (CCM) has taken a district council chairman to task over organizing the youth into causing violence last month in what appears to be the party's ongoing publicity campaign to keep its leadership in order. CCM Chairman for ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani