Gabo:Sijaona Muigizaji wa Kushindana Naye
Msanii wa filamu aliyejizolea umaarufu miaka ya hivi karibuni, Salim Ahmed maarufu kwa jina la Gabo amesema haoni msanii anayempa changamato.
Akizungumza kwenye kipindi cha Take One cha Clouds TV, Gabo alisema wengi wamekuwa wakimwambia anaringa kutokana na kuwaambia ukweli.
“Kwa hapa Tanzania sijui ndio maana wanasema mimi naringa,” alisema Gabo alipoulizwa ni msanii gani anayempa changamoto.
“Nyuma alikuwa Single Mtambalike, sasa hivi sijaona wa kumtazama na kunipa changamoto tuweze...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WA*Dv5OWc2hB1zMx2keekWhZv*9QqvXMcr9ZywEB-czLVXfJB-eIph7ixlWGGK*CYIpD1szo2jFHoWgzugJu4IByf-5YamnZ/maya.jpg?width=650)
MAYA: SIJAONA WA KUZAA NAYE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yv5LJqWpO0p59gSkh23ytrEvz3KHAWIoXn6oENyMOMwrIpPuSMZmrpvo06LLW*F0vu7hRKR81Ep9HuIshuKCQ-BdTXdkRPFY/gabo.jpg)
GABO APATA AJALI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3LveGg5SQZVDrTpoymha53UaC8Gj7*Q1Ys7QY26kpUz3oq1x1SrIroLY8Wfk1elPYD1azzj2873zOVEYQqrjX01V/gabo.jpg)
GABO; TEJA, MMAKONDE AU MCHAGA?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*EqvtGjmCN5fxic*XWeDO*WEMidH6iHBvTjmZhcFiJphj75zDJnqRrpnrjXtjjqFwzVUnq1DcOVrlI*8apYOnamU7pDWcWoG/gabo.jpg)
BOND, GABO WANASWA WAKISAGA MIRUNGI
9 years ago
Raia Mwema02 Sep
Tunakwenda Congo kushindana au kushiriki?
KUNA wakati nawaza mambo kwa kina lakini majibu sipati.
Mwandishi Wetu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PhpRQMoFW8bPitOU*KnfK1BhX61*CtTHbKjDs*WBUQo9GoBxtyuJg9r0sd9IqB6Ow8zE84sxMOSoQa0pEk4y2xYs1G9tPtYR/miss.jpg)
TANZANIA INAENDA KUSHIRIKI, SI KUSHINDANA
10 years ago
BBCSwahili02 May
Bolt kushindana na Gutlin wa Marekani
9 years ago
Mtanzania23 Nov
Frida wa BSS: Mazingira yanakwamisha wasichana kushindana
MSHINDI wa tatu katika shindano la Bongo Star Search (BSS) 2015, Frida Aman, amesema mazingira magumu na tamaduni kandamizi ndizo zinazochangia kumkandamiza msichana hasiweze kushindana na wanaume katika kila jambo ikiwemo muziki.
Alisema anaamini mazingira wanayopitia wasichana yangekuwa yanapitiwa na wavulana hali za ushindani zingekuwa sawa, lakini wasichana wengi wanaonekana kushindwa kwenda na kasi ya wavulana kwa kuwa tu mazingira yao yanatofautiana sana.
“Mimi naweza kutaka kujifunza...